Sio kila tajiri ni myahudi USIPOTOSHE, pia wayahudi kuuwawa na Hitler Soo jambo la kushabikia, ni sawa na Leo wayahudi wanavyowauwa waparestina yote ni genocide. Ni kitu kibaya wote wana fanya VItendo viovu
Umefanya vizuri kulileta hapa jukwaani pia nimefurahi kuona namba ya mhushimiwa waziri.
Naomba Sasa tuwe tuna mcheki moja Kwa moja mh waziri kwaajili ya taarifa na ushauri
Ningependa pia tusiwakatishe tamaa Wadau wanao hitaji msaada kwa kejeli au vijembe. Kila mmoja ana namna yake ya...
Huatuezi kuwa sawa, kiakili ,ustaraabu namna ya kuchanganua mambo, kupambana na mazingira uwezo wakufikiri na kuamua,
mfano mdogo tu kwenye michezo timu za waarabu wakaskazini (timu za taifa) zinafanya vizuri kwasababu wachezaji wao wanauwezo mkubwa wakutumia akili lakini kwenye vipawa tupo...
Siamini kuwa serikali inaweza kufanya hivyo huenda ikawa wahuni tu, ngoja tusubili POLISI watasema nini.
Angalizo Tuache uzushi na matusi Ili tuendelee kulifurahia jukwaa letu
Waislamu wengi upande wa Zanzibar mikoa ya pwani lakini bara ni wachache hata hivyo hatuna sababu ya kujadili mambo ya uislamu na Ukristo ni kupoteza muda na nguvu.
Eti tutalinda kura wewe haya Sasa bado siku ya kupiga kura,.
Hapo Lisu ndo anapojipatia pointi, lile jitu linaona mbali sana I see . Pole nchi yangu Tanganyika
Pamoja na mapungufu aliyonayo mama, lakini siamini kuwa anapenda au anafurahia wafauasi wake wafe, ukifuatilia vizuri utagundua kuwa ni uzembe wa madereva au ubovu wa Barabara . Tukumbuke kuwa ajali hutokea popote na kwa yeyote. Wala sio kafara.
Sio vizuri kushangilia vifo vya wenzetu, haifurahishi na ni ukosefu wa utu.
kikubwa tuache kuwabeba watu kwenye malori ya mizigo kuwapeleka kwenye mikutano tuwaache waje wenyewe Kwa NJIA watakazo weza. The
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.