hebu kwanza kabla ya ukonozi wa vitu vya wenzako utueleze wewe kilichokutoa alphatel ni nini? au ulikuwa kwenye ile deal ya kupiga mil 70 pale mlangoni mkipeleka benki? halafu hii yako imekaa kimbeambea unasema wakuelekeze wanapataje hela halafu unaanza na kuanika vitu vyake, kama ulikuwa pale...
tongwe records wamepata pigo baada ya mkurugenzi na mwanzilishi wa Tongwe records kufiwa na baba yake jaji mstaafu Lewis makame, poleni sana kwa msiba, kazi ya mungu haina makosa
Alie kuwa judge wa mahakama ya rufaa na Mwenyekiti wa zamani wa Tume ya Uchaguzi Jude Lewis Makame amefariki mchana wa leo katika hosp ya muhimbili alipokuwa amelazwa kwa operation aliofanyiwa wiki iliyopita.
Bwana ametoa Bwana ametwaa, jina la bwana lihimidiwe..
mkuu mohd mtoi ana taaluma ya ualimu tokea mwenge university, siasa ni hobby tu, so anapoongelea masuala ya elimu anajua anachosema, may be alipoingiza majina ya washauri..........
Tanzania sio nchi yenye amani, hapa kuna "absence of fighting" huwezi kuita nchi yenye amani wakati hakuna haki, watu haki zao mpaka wahonge, ufisadi mkubwa sana, hivyo ndio vigezo vinavyofanya hao jamaa kutoiweka nchi yetu kuwa ni moja ya nchi zenye amani
pls acha kumuonea lukuvi, amesoma sana, sio std 7, ilikuwa ni std 8, na ile ya wakati ule nahisi wamecompare na sasa ndio maana wameona waiconvert to elimu ya sasa ndio maana sasa ana masters..... hii ndio bongo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.