Iwapo mtoto amepewa jina la ukoo na kumbe bila kujua mwenye jina hilo alikua mganga na anahitaji mtoto huyo arithi mikoba Je, kuna njia unaweza kutumia ili jambo hilo lisiwezekane?
Ila ni tayar mtoto kesha zaliwa na tatizo flan ambalo ukifatilia kwa wataalam unaambiwa ni mwenye jina alikua...
kweli ukitaka kumjua Mungu zaid utajikuta unachiz cz Mungu achunguziki kama tunavyo fikiria ndo maana hakuna mwenye jibu kamili lililokamilika kuhusu yeye ACHENI MUNGU AITWE MUNGU NA USIMRINGANISHE NA CHOCHOTE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.