Sie hatuna idea iliyonayo!kuna watu sio wakristu lakin wasoma shule za kikristu na wengine sio waislamu lakini wanasoma morogoro muslim university!kwa nn unafikiria udini sana@balimar
Masomo ya ziada kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza mpaka cha sita, wanafunzi wanaorudia mitihani (PC) na wanafunzi wanaofanya mitihani ya maarifa (QT),Masomo yatolewayo
1. Chemistry
2. Physics
3. Basic Mathematics
4. Biology
5. History
6. English and Literature
7. Geography
Mahali: moshono...
KIWANJA KINAUZWA KWA WAKAZI WA ARUSHA
KIWANJA KIPO MAENEO YA KWA LAIZER RELINI
UKUBWA WA KIWANJA NI 15 x 15
KWA MAELEZEZO ZAIDI TUWASILIANE 0718 117 784
Natafuta mwalimu wa sekondar wa kubadilishana nae kituo cha kazi toka Arusha jiji mie niende Morogoro manispaa, kama unawiwa tuwasiliane kupitia 0718117784
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.