Unamjua mwanajeshi, unafahamu anapofanya kazi, unatakiwa kuripoti kwa wakubwa zake ukiwa na ushahidi. Sasa ikigundulika aliyepigwa sie mmhhhh....... nyie anzeni tu kuhama
Dhamira nzuri na ushirikiano wa watanzania wote including zitto mwenyewe itasaidia serikali kukusanya zaidi ya hizo. Wanasiasa wasiobadilika bado wanaendelea Kuliona Giza tu hata Kama wameshika tochi
Dini is nothing just follow your heart unaweza kubadilisha hizo dini Kama nguo na ukasahau ila huwezi badili wema au ubaya wa huyo boyfriend au wa Wazazi wako
Kuna habari unaisoma kwenye gazeti halafu unajiuliza hivi huyu ni mwandishi aliyefanya utafiti wa kina kwa ajili ya alichoandika? Riz yuko sahihi kwa waandishi makanjanja, sio wote ila ni wengi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.