Kulinda kura ukiwa mita 200 toka chumba cha kura unawezaje kumzuia aliyeko ndani kukuibia? Labda tukubaliane watakaobaki mita 200 hawatakuwa wakilinda kura bali wanasubiri kusoma matokeo yatakayobandikwa.
TWAWEZA wangekuwa wameonyesha kuwa mshindi ni LOWASA hapa mngekuwa mnaona watu wanavyoshangilia eti TWAWEZA wana akili. Kwa vile wametoa matokeo kama NEC itakayotoa hapa ndo wanatukanwa mpaka ndani. SIASA siyo matusi bali ni ushawishi. Acheni matusi subiri kura zipigwe atangazwe rais wa...
Mimi naweza kusema kwamba uchaguzi huu kwanza tuuweke kwenye maombi yetu ya kila siku, pili wananchi tutambue, tujue na tuelewe maana ya upigaji kura (why people vote?). Tukielewa hilo amani itakuwepo tena bila wasiwasi. Tatizo kubwa linalokumba wale wasiojua maana ya demokrasia wanadhani kuwa...
Nakumbuka maneno baadhi ya wimbo ila jina na msanii sikumbuki.
"Beti unaondoka ee, kwangu unaniacha, nami sina la kufanya, mama uende salama.
Mawazo x 3
Ukiwa x3 ........."
Jamani tunaona kweli majina yamewekwa ila mtandao haukubali bado tuko roho juu. Kama kuna aliyewahi kuyapata majina ya sanaa na biashara atoe msaada jamani tuyapate humu JF.
Je, wakati wanatangaza kwa umma kuwa ajira zitatoka tar 25. Pia wakaongeza eti wamefanya utafiti ngazi ya halmashauri na shule kubaini uhaba wa walimu. Je, hawakugundua kuwa halmashauri hazina hela ili wasitangaze? Huyo ndugu yako wa tamisemi kakudanganya mtoa uzi
Mi kinachoniudhi hadi presha zikanipanda ni pale ninapofungua website ya TAMISEMI kuona kama tayari alafu nakuta kile kitangazo chao kinachodai wanatoa majina tar 25 wakati naona tayari tar 26 na hawajakifuta kitangazo kile. Napata machungu wangekuwa JF wakapitia threads km hz wangefuta tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.