Chief Kimweri, kama paramount chief upande wa Tao la Mashariki, (Usambara yote hadi Moa, Lunga Lunga)
Chief Kingalu, naye kam paramount chief upande wa Tao la Magharibi, (Uluguru yote hadi Bagamoyo)
nao walikuwa "subjects" wa Sultan? Walilipshwa kodi ya kichwa na sultan?
Au unatuandaa madai...