Wewe na nani au kiherehere cha kujumuisha watu usiojua mioyo yao. Mimi hata kiongozi wangu wa chama ukiletwa ushahidi usio na shaka sharti awajibishwe. Who's lowassa? Lowassa my foot! !!
Wewe ndo hufai. Tuamini lipi Dr. Slaa kanunuliwa au mbowe kauza chama. Kabla ya kumsema mwenzio anapoteza credibility jiulize wewe ulishawahi kuwa na chembe ya hiyo credibility? Tunamuunga mkono slaa kwa maana ya misingi. Ukombozi unaoletwa kwa gharama ya kuacha misingi ni sawa na ule wa...
Sasa kama sio kiherehere ni nini? Wewe unamuwekea mtu mshahara hajasaini akikataa hujampa? Alafu kutupiwa virago na kulala kwenye gari dk. Alisema huo ni upuuzi mtu mstaarabu hawezi kuongelea mambo yake binafsi lakini kama na yeye angeamua kusema ya Lissu na mkewe anayo mengi. ...
Acha kubwabwaja sijui umezunguka kigoma ya wapii. Muulize mbowe na lowassa walipouliza mbunge wenu nani watu wa kigoma mjini walijibu nini. Unaropoka tu kujifariji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.