Tujaribu kidogo kufikiria nje ya box,kuna siku clouds wanakandia ccm,na kuna sk chadema pia.Kwa leo sijaona kosa lao.Hando alikua tu anajaribu kupinga upotoshaji au ukuzaji habari usio na msingi.Saa nyengine magazeti yanakuza mambo bila msingi.That ws the point...mbona walimkomaliaga waziri...
Mbona Madaktari walikua wanaendelea na mgomo wakati swala lipo mahakamani????
Its high time waemde wakaajiriwe huko wanakoona watalipwa zaidi.
Mwajiri binafsi atawapa Key Performance Indicator na review za kila mwezi.
Most of them (sio wote)wamezoea kuzuga zuga hospitali za serikali na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.