Recent content by Mzalendo03

  1. M

    KERO Bunju A Dar es salaam, tatizo la kukatika kwa umeme limekuwa sugu

    TANESCO shida ni nini? Umeme mmekata siku nzima uku Bunju , Dar es salaam ,mmerudisha , ndani ya nusu saa mmekata tena
  2. M

    KERO Bunju A Dar es salaam, tatizo la kukatika kwa umeme limekuwa sugu

    Ifike pahala sasa watu wa Bunju A Dar es salaam waanze kupaza sauti kuhusiana na kukatika kwa Umeme uku Bunju A. Utafikiria tuko Mkoa ama Nchi nyingine. Kila kukicha umeme lazima ukatwe Bunju A. Ukiuliza wanajibu hitilafu!. Hii hitilafu ambayo haina mwisho ni hitilafu gani?
  3. M

    KERO TANESCO umeme usiku kucha mpaka sasa hakuna Bunju

    Shida ni nini? Juzi mnasema umeme ni mwingi kupita matumizi shida mgao. Hii kauli haieleweki kukiwa na kukatika kwa umeme kama hivi. Tutaweza kuuza umeme kwa jirani kweli kama alivyosema Rais Samia
  4. M

    Kuna umuhimu wa serikali kufanya ukaguzi hizi shule binafsi. Watoto darasa la 4 wanawekwa Shuleni mpaka saa 12 jioni Jumatatu - Jumamosi

    Issue sio kufaulu , Mnabidi muelewe na Afya ya Ubongo wa Watoto. Darasa la nne mtoto bado ni mdogo, angalau wangekuwa wanafanya mara 3 kwa wiki. Angalieni Shule za Singapor ama China . uwone kama watoto wa umri uwo wanasomeshwa masaa 12 shuleni Mtoto anaitaji kukua na kucheza pia. NYie Sijuwi...
  5. M

    Kuna umuhimu wa serikali kufanya ukaguzi hizi shule binafsi. Watoto darasa la 4 wanawekwa Shuleni mpaka saa 12 jioni Jumatatu - Jumamosi

    Shule moja inaitwa Center for Education Plus Darasa la 4 miaka 9 wanakalishwa shuleni mpaka saa 11 Jumatatu mpaka Jumamosi wanafika nyumbani saa 1 usiku. Huyu mtoto anasoma nini?. Ubongo wake umeshakomaa kukaa muda wote huu akisoma?. Sio sawa kabisa.. Angalau wangefanya mara 3 kwa Wiki. Na...
Back
Top Bottom