Jamaa angu embu nisaidie kitu kimoja, nataka kuagiza mzigo online, lakin swali langu je vp kuhusu suala la kodi mana serikal hii ya sasa mmh, pili where do i suppose to go n pick my package, au they send through postal adress i provide?! Mana t wealth a millions sasa lazma nijihakikishie ufanisi...
Jamaa angu embu nisaidie kitu kimoja, nataka kuagiza mzigo online, lakin swali langu je vp kuhusu suala la kodi mana serikal hii ya sasa mmh, pili where do i suppose to go n pick my package, au they send through postal adress i provide?! Mana t wealth a millions sasa lazma nijihakikishie ufanisi...
Habari zenu waungwana, naombeni kufahamishwa, viwango vya nauli za mabasi yaendayo mikoani zinazotumika sasa ni za mwaka gani?! Na je kuna mtu yoyote anaweza kunisaidia kuipata hiyo list?!
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.