Wamekuchukulia Nini?!!! Naona unahasira kweli kweli!!!!Ila asikubabaishe mtu au kinyago chochote Cha mpapure,we ndo mke unayetambulika, na una haki zote kisheria mbele ya Ardhi na mbigu TRUST ME
MBONA HUU UZI KWA SASA SIONI KAMA MISAADA INAPATIKANA TENA?!!!! WATU WAMEKWEMDA LIKIZO AU NDIO UMEZOELEKA MTU ANASOMA TU! NA MSAADA HATOI JAPO YUPO KWENYE HUO UWEZO WA KUSAIDIA!?? JAMANI UKIONA WIMBO MTU ANATAFUTA NA UNAWEZA KUSHARE HUMU, NAKUOMBA FANYA HIVYO TAFADHALI
Nimeupata ila nimeshindwa kudowload msaada kwa wakali Wa kudownload. Download halafu utupie humu tafadhali
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.