Hello, wadau wa JF, kuna vitu nadhani sisi kama nchi hatuwi makini haswa kwa hawa Viongozi wetu tunachaguliwa, hili linakwenda moja kwa moja kwa Waziri Nape.
Kuna hizi huduma za Mitandao ya Simu Postpaid kwa safari hiii naizungumzia haswa ya Tigo. Tulielekezwa tukajiunga, Mr. Mm natumia ya 30K...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.