TCU Wameachia Majibu Ya Waliofanikiwa Kupata Vyuo Kwenye Second Round, Zama Kwenye Profile yako Sasa Hivi, Alafu Nenda View Selection Utaona Na Chuo Ulicho be Selected.. Wajulishe Na Wenzako
Zina Maana Gani Hizo AlAMA.. zingine remaining Capacity 0, Nyingine -2, Nyingine -6, Yaani Nashindwa kuelewaa wakuu.. ndo nimekosa chuo au?
Naomba Msaada Mtu Wa Kunielezea Nahisi Kuchanganyikiwa
St. Joseph University
Ina colleges nyingi,dar zipo college za Engineering na Education zipo Kibamba,na kuna college mpya ya medicine Boko.
Kwa habari ya ufundishaji,wapo vzuri Lecturers wanafundisha vzuri tu tho sio wote wapo "competent" ila wanafundisha sanaaaaaaaaaa
Attendance ni mhimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.