Recent content by Mzalendo Jr.

  1. M

    Tcu second round imeshatema..

    TCU Wameachia Majibu Ya Waliofanikiwa Kupata Vyuo Kwenye Second Round, Zama Kwenye Profile yako Sasa Hivi, Alafu Nenda View Selection Utaona Na Chuo Ulicho be Selected.. Wajulishe Na Wenzako
  2. M

    Kuhusu vyuo 2015/2016

    Wakuu Kwangu Naona Data Base Error... Inamaana Gani..
  3. M

    Kuhusu vyuo 2015/2016

    Izo Alamaa Zinakuwa Na Maana Gani Mkuu.. Au Ndo Dalili Za Kukosa Chuo.. Tusaidiane Kudadavua Hizo Alama Jamani.. Mimi Sizielewi
  4. M

    Kuhusu vyuo 2015/2016

    Zina Maana Gani Hizo AlAMA.. zingine remaining Capacity 0, Nyingine -2, Nyingine -6, Yaani Nashindwa kuelewaa wakuu.. ndo nimekosa chuo au? Naomba Msaada Mtu Wa Kunielezea Nahisi Kuchanganyikiwa
  5. M

    st Joseph university

    St. Joseph University Ina colleges nyingi,dar zipo college za Engineering na Education zipo Kibamba,na kuna college mpya ya medicine Boko. Kwa habari ya ufundishaji,wapo vzuri Lecturers wanafundisha vzuri tu tho sio wote wapo "competent" ila wanafundisha sanaaaaaaaaaa Attendance ni mhimu...
  6. M

    2round selection

    Ivi Wakuu Unaweza Uka Apply 2nd Round Afuu Ukatemwaa Tena Ama?
  7. M

    Eti TCU Wamesema Wanaofanya Second Round Wachague COURSE Tano, Je Ni Kwelii, Tusaidiane Jamani

    Eti TCU Wamesema Wanaofanya Second Round Wachague COURSE Tano, Je Ni Kwelii, Tusaidiane Jamani
  8. M

    Second Round Application TCU

    Jee Campus Ya Dar Iko vipi Wadau Kwa Civil Engnrng
  9. M

    Second Round Application TCU

    Kwanini Mkuu.. Em Fafanua Zaidii Maana Wengine Ndo Tunataka Tuendee Huko..
  10. M

    CAS is now open for 2nd round applications only

    Jamani ni kweli tayari.. kumeshanukaa.. zama kwenye profile ako
Back
Top Bottom