Yule mtu bwana kulia kushoto anapiga hatari. Ila huyu onyango wameleta ushikaji bwana.... Hii cetre back ya madagascar nayo mtu na nusu bwana.
Lalaina nasikia kashakula shavu algeria mwanawane
Kumbe na wee umemuona yule anapiga miguu yote kushoto anatoa pass kulia anamwaga cross.
Huyu mtu ila hamzidi huyu fullback ya morocco no. 7. Balaaa huyo yaani kwanza sijui kwa nini anacheza africa
Wee bwana mpira wa 100 x 70 sio mechi ya sita kwa sita kwamba utajitba jf unajuanshenyenta mbususu kumbe hamna kitu. Wachezaji wanaonekana sema mawakala wanaleta self interest.
Hii chan timu yangu ni hivi
Gk: kipa wa madagascar
Right fullback: bekinwa kulia wa morocco no.7 mgongoni.
Left...
Hawa ukuta wao noma sana backline imejaa vipaji. Yule no13 fullback ya kushoto ulaya inamuita. Centre back no. 2 na no 15 nao watu na nusu.
Kuna striker wao alikuwa anaingia sub no.25 mtu
Ah wapigaji wanapenda kuleta wachezaji wa youtube lol.
Madagascar hapo chukuwa captain wao no.4, chukua lalaina namba 8, chukua fullback right namba 21 leo hajacheza koz ya njano mbili chukuwa na auper sub no. 20 na yule mido nywele blich no. 2
Itakuwa suala la hela mzeya mechi za kimataifa inabidi uwe nanhela...mechi moja ya away ticket tuu na hotel 200mil....tena ombea usipelekwe angola kule luanda....expensive city.
Kuna club yao moja inaita fosa juniors ilikuwaga vizuri enzi za hamad alivuokuwa prezident wa caf.
Alivyonyofolewa...
Wat a game...an absolute delight to watch..madagascar should be proud of their performance.
It took an absolutely majestic goal to win the final and what a final it was. Its a been an absolute joy to watch lalaina play..his ability to caress the ball mesmerizing many a defenders.
The arabs have...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.