Pia ukimuona nyoka huyo ni mkosi..yani ukimuona na bahati nzuri asikuue basi ujue mabalaa na mikosi yatakuandama kama kufiwa na mke/mume watoto na ndugu wa karibu...
Huyu jamaa ni mshenzi sana
Dini ni kundi la watu waliokubaliana na mungu wao na kutenda yale anayoyataka mungu wao mfano.mungu wa waislam ameruhusu kuoa wake hadi wa nne..mungu wa wasabato haruhusu kabisa kula kambale pia anataka ibada iwe jumamosi..mungu wa wakatoliki anataka wao wasali rozali na wajipake majivu kuelekea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.