Wakuu nakuja kwenu kuomba msaada wa jinsi ya kujiunga na chuo cha SHERIA, LAW SCHOOL OF TZ. Mambo ninayohitaji kuyafaamu ni
1. Kama naweza kusoma online
2. Gharama za kujiunga, ada na mahitaji yanayohusishwa.
Baadhi ya taarifa nimezipata kupitia tovuti yao lkn nimebaki na maswali hayo.
Elimu...
Kwa kweli niwashukuru wote mlioichukua changamoto yangu na kuamua kunisaidia mawazo yenu. Naahidi kurudi hapa na ushuhuda wa mafanikio baada ya miezi michache ya utendaji. Mungu awabariki sana.
Biashara ipi ni nzuri na rahisi kuisimamia kati ya hizi. Bajaji ya abiria, cash point (uwakala), tofari za block, au stationary.
Mazingira ya biashara ni mwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.