Recent content by Mynicmancuso

  1. M

    Ushauri kuhusu grand mark 11 gx 110

    Inatakiwa kwa safari ndefu iwe 12km per Litre. Mjini stop-go nyingi na full AC: 7km per Litre. Ikila zaidi ya hapo ni tatizo. Anza kwa kucheki plugs, na plug wire kama cheche za ignition zinapita katikati no missfirings
  2. M

    Msaada gx 100 toyota cresta

    Acheki: 1. Tie-rod hands. 2. Steering rack 3. Engine & gearbox mounts
  3. M

    Msaada gx 100 toyota cresta

    check tie-rod hands zaidi, tena kila Miezi 6 iwapo kila siku wapita rough roads. Pia steering rack cheki. Ika MSISITIZO TIE-ROD HANDS! Zikigonga maana yake no dignal kuwa ANYTIME zinachomoka. Zikichomoka safari mwisho... husogei maana tair zitakia moja kushoto..moja kulia. You dont want that.
  4. M

    Toyota Cresta GX100

    Zote no VVTi 6 cylinder. Hamna GX100 ambayo ni 1G kavu
Back
Top Bottom