Recent content by Myebusi

  1. M

    Unyenyekevu kwenye ndoa

    Mwanaume mpende mkeo,na mwanamke mtii mumeo!! Haya yakienda sambamba lazima ndoa iwe na tabasamu kila siku!! Wanawake wengi siku hizi tunapenda kuchukua nafasi ya mume kama kichwa cha nyumba kitu ambacho hakitokaa kiwezekane,haijalishi mke umemzidi kifedha au cheo mumewe lazima kichwa cha...
  2. M

    Mliofundishwa unyago njooni mtufundishe hapa

    Tena kuna wengine unakaa kwake kabisaaa,mpaka aone umeelewa vizuri.
  3. M

    Mtangazaji wa Clouds tv 360 awataka Wasomi wadaiwa HESLB wakauze Ice Cream walipe deni

    Siku hizi watangazaji wenye akili zao ni wachache sana.saivi ukijua kuongea saaaana basi waweza kuwa mtangazaji!! Yule jamaa kawaida yake kuongea kuongea tu ili asitoke kwenye kipindi bila kuongea.
  4. M

    Mliofundishwa unyago njooni mtufundishe hapa

    Tafuta kungwi,akuelekeze!!
  5. M

    Maandamano makubwa kumshinikiza Gavana Ndulu aachie ngazi BOT

    Watu wengine bana!! Si bora ukadeki bahari tu,kama kazi ya kufanya hauna.
  6. M

    Magufuli ni "visasi na kulipiza"

    Ukweli utabaki palepale!! Rungu linatumika vibaya sana kwa wananchi. Halafu takwimu za mkuu wa mkoa Kagera anasema ni 5.4 b zilipatikana ikiwa ni michango ya wadau kwaajili ya maafa wakati Uingereza yenyewe peke yake imetoa 6 b sasa pesa nyingine zaenda wapi!!! Mambo ya uchama yakae kwanza...
  7. M

    CCM wamwekea Lowassa mazingira mazuri ya kuingia Ikulu!

    Mimi sikukosea kbs mwaka jana. 2020 tiki kubwaaaa...!!!
Back
Top Bottom