Mwanaume mpende mkeo,na mwanamke mtii mumeo!!
Haya yakienda sambamba lazima ndoa iwe na tabasamu kila siku!!
Wanawake wengi siku hizi tunapenda kuchukua nafasi ya mume kama kichwa cha nyumba kitu ambacho hakitokaa kiwezekane,haijalishi mke umemzidi kifedha au cheo mumewe lazima kichwa cha...
Siku hizi watangazaji wenye akili zao ni wachache sana.saivi ukijua kuongea saaaana basi waweza kuwa mtangazaji!!
Yule jamaa kawaida yake kuongea kuongea tu ili asitoke kwenye kipindi bila kuongea.
Ukweli utabaki palepale!!
Rungu linatumika vibaya sana kwa wananchi.
Halafu takwimu za mkuu wa mkoa Kagera anasema ni 5.4 b zilipatikana ikiwa ni michango ya wadau kwaajili ya maafa wakati Uingereza yenyewe peke yake imetoa 6 b sasa pesa nyingine zaenda wapi!!!
Mambo ya uchama yakae kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.