Kwa hiyo alivyostaafu na u Tanzania wake uliisha? au wajibu wake kwa Taifa Kama raia uliisha?. Basi Kama ni hivyo ahamia hata Burundi huko atuachie nchi yetu .
Mbona hujamuelewa Kiranga? Yeye kaongelea upweke na faraja, hayo mambo yakunipanga sijui nini....
umeleta wewe na hii inapaswa kuwa maada nyingine. Ukiweza anzisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.