Hivi ni kweli hii ni serikali ya wachovu??, imefika wakati nauona kabisa kitu ambacho mh.Lissu alichokuwa akikisema bungeni kiko sawa, mpaka leo ni wiki ya 11 yaani ilitakiwa wiki 8 wanafunzi wa vyuo vikuu hawapapewa pesa ya kujikimu.
Hivi inamaana sisi watoto wa wakulima tunaishi vipi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.