Habari wanajamvi,
Naomba kupewa muongozo kuhusu biashara ya kuuza maziwa fresh na mgando kwa mji wa Dar es Salaam ikiwa ni pamoja na
Vifaa vinavyohtajika
Upatikanaji
Gharama za manunuzi
Na eneo zuri kwa biashara hii ni ipi though Nina targeting area tayar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.