Habarini!
Mimi najitokeza kwenu Leo hii kwa mara yangu ya Kwanza kumtafuta mchumba ambae
1.Ana hofu na MUNGU, Mimi ninampenda yesu.
2.MKRISTO km sio mkristo usinipm please ,me ni muaglicana sichagui dhehebu
3. Awe na elimu iliyonizidi, Mimi nina diploma kwa sasa
4.awe mwajiriwa sekta binafsi...