Huwa nawapisha sana siyo wanawake tu hata wanaume walionizidi umri ila tu kama sijachoka na sina hela nyingi mfukoni, mbali na hapo sina sababu ya msingi kumpisha yeyote yule kwenye kiti.
Halafu kwa hii kesi kama yako bado kuna wanawake watasema WANAUME WOTE NI SAWA[emoji12] [emoji12]
> cha msingi mfuate dadako umwambie akufundishe namna ya kumpenda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.