Recent content by Mwizukulu wa Buganda

  1. M

    Spika: Halmashauri zilizokaidi agizo la serikali kununua dawa za malaria kuchukuliwa hatua kali

    Spika wa Bunge Mussa Azzan Zungu amesema kuwa Halmashauri zitakazobainika kuwa zilipuuza agizo la Serikali kununua dawa za malaria pamoja na kuwa zimepewa fedha, basi hatua kali zitachukuliwa dhidi yao.
  2. M

    Waziri Mkuu: Tutabana matumizi yasiyo ya lazima ili kukabiliana na athari za kiuchumi zinazoendelea duniani

    Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba akijibu ameyasema hayo Bungeni katika kipindi cha maswali na majibu kwa Waziri Mkuu wakati akijibu swali la Mbunge Ado Shaibu kuhusu hatua za Serikali wanazochukua ili kukabiliana na athari za kiuchumi kutokana na vita inayoendelea mashariki ya kati na ulaya mashariki.
  3. M

    Over 70 Ugandans feared trapped in Russia-Ukraine war after alleged recruitment scam

    At least 79 Ugandans are believed to be stranded in Russia after reportedly falling victim to a deceptive overseas recruitment scheme that has seen them deployed to the frontlines of the Russia–Ukraine war without proper contracts or adequate training. Courtesy: The guardian Relatives...
  4. M

    Police report: At least 15 people killed daily in Uganda road crashes

    A wreckage of a Mitsubishi Pajero that was involved in a head-on collision with a taxi on August 14, 2025 at Muhokya Town along the Kasese–Mbarara Highway. Photo |File | Courtesy Road traffic deaths in Uganda rose to 5,383 in 2025, averaging 15 fatalities per day, according to new police...
  5. M

    Kabale speaker suspends LCV chairman over budget standoff

    A police officer leads the Kabale District Clerk to Council and the District Speaker, Ms Flavia Nyinakiiza Kanagizi, out of the council hall after a council session on March 30, 2026. PHOTO/ROBERT MUHEREZA The Kabale District Council Speaker Flavia Nyinakiiza Kanagizi has barred LCV chairman...
  6. M

    Industrial waste threatens Lake Victoria, Nile ecosystem

    Industrialisation blamed for rising water pollution in Jinja City. Religious leaders, environmentalists and development partners have raised concern over increasing industrial pollution threatening Lake Victoria and the source of the River Nile, warning that unchecked waste discharge is...
  7. M

    NUP's Jinja mayor appoints deputy from NRM for final stretch of term

    Jinja City Northern Division Mayor Ayub Wabika has named Michael Waiswa as his deputy, barely a month before the end of their term in office. The opposition mayor from the National Unity Platform (NUP) replaced Suzan Namaganda (Wanyange Lake) with Waiswa. After failing to reclaim her seat in...
  8. M

    PostGE2025 Prof. Lipumba: Taarifa za mitandaoni zilionesha hakuna waandamanaji waliokuwa na silaha, hivyo hawakustahili kupigwa risasi

    Profesa Lipumba akizungumza katika hafla ya makabidhiano ya ofisi ya CUF, jijini DAR amesema kuwa uchaguzi wa 2025 haukuwa huru wala wa haki na ulighubikwa na mauaji ya watanzania wengi wao wakiwa hawana makosa. Pamoja na wengine kufanya maandamano, lakini taarifa zilizokuwa zinaonekana...
  9. M

    PostGE2025 Prof. Lipumba: Uchaguzi wa 2025 ulikuwa vurumai, CUF tulitegemea kupata walau majimbo 15

    Profesa Lipumba amesema kuwa chama cha wananchi CUF japokuwa hakikutarajia kushinda ngazi ya urais lakini kiliamini kingeweza kupata majimbo ya ubunge walau viti 15, lakini ilishindikana kutokana na uchaguzi mkuu kutokuwa huru na haki.
  10. M

    Prof. Lipumba akabidhi ofisi CUF, asema chanzo cha kuondolewa kwake ni hotuba aliyotoa Januari 27, 2026 aliyopendekeza kuwepo serikali ya mpito

    Hatimaye, Profesa Ibrahim Lipumba amekubali kung'olewa katika wadhifa wa uenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), huku akiacha maagizo matano kwa mwenyekiti mpya, Mirambo Yusuf, likiwemo kuhakikisha anasimamia nchi kupata Serikali ya mpito. Mbali na hilo, ameisisitiza upatikanaji wa Katiba mpya...
  11. M

    Nderitu Gachagua’s Family Writes to Ruto Over Alleged Forged Will and Stolen Estate

    The family of the late former Nyeri Governor Nderitu Gachagua has formally petitioned President William Ruto, seeking intervention, which includes a probe and recovery of assets over a long-running dispute surrounding the deceased’s estate. In a detailed letter dated March 23, this year, the...
  12. M

    KERO Ofisi ya kupokelea mizigo ya mabasi ya Happy Nation jijini Dar es Salaam si salama kwa uhifadhi wa mizigo

    Hii nimeshuhudia Ijumaa last week mpaka nikawaonea huruma wenye mizigo. Na siku hiyo mvua ilinyesha kubwa, wana turubai lakini hazifuniki mizigo yote, na hata iliyofunikwa inalowana maji yakituama. Kuna viroba vya mchele kibao niliona vikinyeshewa. Mamlaka inabidi ziingilie kati, mabasi...
  13. M

    PDPC: Taasisi zote ziteue Afisa Ulinzi wa Taarifa Binafsi kabla ya 8 Aprili, 2026

    Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imezitaka taasisi zote nchini kuhakikisha zinazingatia kikamilifu matakwa ya Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, ikisisitiza kuwa kutokufuata sheria hiyo kutasababisha hatua kali za kisheria. Kwa mujibu wa Tume hiyo, adhabu kwa watakaobainika kukiuka...
  14. M

    Benson Kigaila: CHAUMMA ni chama cha kutenda, na si kelele mitandaoni

    Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Tanzania Bara Benson Kigaila amedai kuwa chama hicho kinaweza kushika nafasi ya pili kwa kuwa na idadi kubwa ya wanachama na wafuasi baada ya chama tawala (CCM), ingawa katika matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliopita wamepata Viti vichache vya...
Back
Top Bottom