Spika wa Bunge Mussa Azzan Zungu amesema kuwa Halmashauri zitakazobainika kuwa zilipuuza agizo la Serikali kununua dawa za malaria pamoja na kuwa zimepewa fedha, basi hatua kali zitachukuliwa dhidi yao.
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba akijibu ameyasema hayo Bungeni katika kipindi cha maswali na majibu kwa Waziri Mkuu wakati akijibu swali la Mbunge Ado Shaibu kuhusu hatua za Serikali wanazochukua ili kukabiliana na athari za kiuchumi kutokana na vita inayoendelea mashariki ya kati na ulaya mashariki.
At least 79 Ugandans are believed to be stranded in Russia after reportedly falling victim to a deceptive overseas recruitment scheme that has seen them deployed to the frontlines of the Russia–Ukraine war without proper contracts or adequate training.
Courtesy: The guardian
Relatives...
A wreckage of a Mitsubishi Pajero that was involved in a head-on collision with a taxi on August 14, 2025 at Muhokya Town along the Kasese–Mbarara Highway. Photo |File | Courtesy
Road traffic deaths in Uganda rose to 5,383 in 2025, averaging 15 fatalities per day, according to new police...
A police officer leads the Kabale District Clerk to Council and the District Speaker, Ms Flavia Nyinakiiza Kanagizi, out of the council hall after a council session on March 30, 2026. PHOTO/ROBERT MUHEREZA
The Kabale District Council Speaker Flavia Nyinakiiza Kanagizi has barred LCV chairman...
Industrialisation blamed for rising water pollution in Jinja City.
Religious leaders, environmentalists and development partners have raised concern over increasing industrial pollution threatening Lake Victoria and the source of the River Nile, warning that unchecked waste discharge is...
Jinja City Northern Division Mayor Ayub Wabika has named Michael Waiswa as his deputy, barely a month before the end of their term in office.
The opposition mayor from the National Unity Platform (NUP) replaced Suzan Namaganda (Wanyange Lake) with Waiswa.
After failing to reclaim her seat in...
Profesa Lipumba akizungumza katika hafla ya makabidhiano ya ofisi ya CUF, jijini DAR amesema kuwa uchaguzi wa 2025 haukuwa huru wala wa haki na ulighubikwa na mauaji ya watanzania wengi wao wakiwa hawana makosa.
Pamoja na wengine kufanya maandamano, lakini taarifa zilizokuwa zinaonekana...
Profesa Lipumba amesema kuwa chama cha wananchi CUF japokuwa hakikutarajia kushinda ngazi ya urais lakini kiliamini kingeweza kupata majimbo ya ubunge walau viti 15, lakini ilishindikana kutokana na uchaguzi mkuu kutokuwa huru na haki.
Hatimaye, Profesa Ibrahim Lipumba amekubali kung'olewa katika wadhifa wa uenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), huku akiacha maagizo matano kwa mwenyekiti mpya, Mirambo Yusuf, likiwemo kuhakikisha anasimamia nchi kupata Serikali ya mpito.
Mbali na hilo, ameisisitiza upatikanaji wa Katiba mpya...
The family of the late former Nyeri Governor Nderitu Gachagua has formally petitioned President William Ruto, seeking intervention, which includes a probe and recovery of assets over a long-running dispute surrounding the deceased’s estate.
In a detailed letter dated March 23, this year, the...
Hii nimeshuhudia Ijumaa last week mpaka nikawaonea huruma wenye mizigo. Na siku hiyo mvua ilinyesha kubwa, wana turubai lakini hazifuniki mizigo yote, na hata iliyofunikwa inalowana maji yakituama. Kuna viroba vya mchele kibao niliona vikinyeshewa. Mamlaka inabidi ziingilie kati, mabasi...
Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imezitaka taasisi zote nchini kuhakikisha zinazingatia kikamilifu matakwa ya Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, ikisisitiza kuwa kutokufuata sheria hiyo kutasababisha hatua kali za kisheria.
Kwa mujibu wa Tume hiyo, adhabu kwa watakaobainika kukiuka...
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Tanzania Bara Benson Kigaila amedai kuwa chama hicho kinaweza kushika nafasi ya pili kwa kuwa na idadi kubwa ya wanachama na wafuasi baada ya chama tawala (CCM), ingawa katika matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliopita wamepata Viti vichache vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.