Mbunge wa Baraza la Wawakilishi na Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu, Simai Mohammed Said akihojiwa na waandishi wa habari baada ya kupitisha bajeti kuu ya Serikali leo Juni 23, amekwepa kumtaja Yuda msaliti aliyeko Serikali, na kusema kuwa watu wazima tayari walishaelewa tafsiri yake
Pia soma...
Bajeti ya Serikali 2026/2027 yapita kwa kishindo
Matokeo ya kura ya bajeti kuu ya serikali:
Idadi ya Wabunge waliokuwepo bungeni: 393
Idadi ya Wabunge ambao hawakuwepo bungeni: 8
Kura za Ndio: 385
Kura za Hapana: 8
Kura za Sipigi Kura: Sifuri
Bajeti ya serikali imepitishwa kwa kura 385...
Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Simiyu, Tina Chenge ameiomba Serikali kupunguza matumizi ili pesa zinazopatikana zisaidie kwenye miradi ya maendeleo
''Eneo la matumizi ya serikali, niombe serikali ibane matumizi, na hasa kwenye ununuzi wa magari ya kifahari, lakini na safari za nje. Tuwatumie...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema Serikali imetenga Shilingi milioni 100 kwa ajili ya kuwazawadia wananchi watakaotoa taarifa sahihi zitakazosaidia kubaini na kuzuia vitendo vya uvunjifu wa amani nchini. Amesema hatua hiyo inalenga kuimarisha ushirikiano kati ya...
Katambi Awaonya Wahalifu na Maandamano haramu ya Tarehe 7
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi amewaasa watu wanaotoa kauli za kichochezi katika mitandao ya kijamii, majukwaa ya kisiasa na maeneo mbalimbali ambapo kauli hizo za kibaguzi na kichochezi zinahusu Muungano wa Jamhuri...
MIMI ni tunda la Azimio la Arusha. Chini ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kupitia Azimio hilo, tulijenga taifa kwa sera ya Ujamaa na Kujitegemea.
Ujamaa ulishindwa, lakini katika kujitegemea tulipiga hatua kubwa. Natetea hoja yangu
kama ifuatavyo;
Kwanza, tulijitegemea kifikra na...
Tabia ya baadhi ya nchi za Afrika kubadili katiba ili kuongeza muda wa marais wanaokaribia kumaliza mihula yao imeendelea kujitokeza mara kwa mara. Je, hii ni ishara ya ukomavu wa kisiasa na kulinda maendeleo, au ni njia ya watawala kuendelea kushikilia madaraka?
Hili jambo lina uzito mkubwa...
Tunaoumia ni mashabiki wa Ureno. Ronaldo anapaswa kukubali kwamba huenda asiifikie rekodi anayoiwinda, na wakati umefika kuipa nafasi kizazi kipya kuibeba timu. Ureno ni kubwa kuliko mchezaji mmoja; mafanikio ya timu yanapaswa kuwa muhimu zaidi kuliko rekodi za mtu binafsi. Ikiwa bado anaipenda...
Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa CHADEMA Wilaya ya Mbeya Vijijini, Amoni Masinga, amesimulia jinsi askari walivyovamia nyumbani kwake na kuacha watoto wake wawili wakiwa na vilema kutokana na kipigo.
"Polisi mlikuja kwangu mkan'goa geti, mkawachomoa watoto wangu na kuwapiga kikatili...
Yericko Nyerere amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama kuwa macho na viashiria vya maandamano anayodai yanaweza kuwa na mpango wa kuhatarisha amani.
Kupitia mtandao wa X, Yericko amedai kuwa maandamano hayo si ya kawaida ya kikatiba na kuhusisha harakati hizo na mpango wa kisiasa unaoweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.