Recent content by Mwizukulu wa Buganda

  1. M

    JamiiForums Tanzania Nani kaua kwenye hii ngoma 'Danger' yenye ma-legend wa BongoFlava?

    Jay Moe kaua, Domokaya pia
  2. M

    JamiiForums Tanzania Bon Yai: Kama tunataka kuzuia utekaji tupige marufuku polisi kukamata bila sare, magari yasiyo rasmi ya Polisi

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Kanda ya Pwani na Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Boniface Jacob, akizungumza katika mkutano wa hadhara Viwanja vya Soko Kuu jijini Arusha amesema kuwa ili kukomesha vitendo vya utekaji na mauaji holela vinavyoendelea nchini, Serikali inapaswa...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Ni aibu kwa Serikali kutukanwa kwasababu ya maafisa habari hawawajibiki

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amewataka Maafisa Habari, Itifaki, Mawasiliano na Uhusiano Serikalini kufikisha taarifa sahihi na kwa wakati kwa wananchi ili wawe na uelewa juu ya mambo mbalimbali yanayotekelezwa na...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Civilian Coin: Unapokuwa Rais wa Nchi usiwe takataka, jiheshimu na ulinde usiwe na doa chafu

    Civilian Coin ni mtu makini sana, asante kwa nondo
  5. M

    JamiiForums Tanzania Je, kwanini vitu mtumba(used) vina ubora kuliko vitu au bidhaa spacial (mpya) kwa apa Tanzania zaidi?

    Vitu imara vipo, ila wabongo wengi hatumudu gharama zake, tunaishia kwenye bidhaa fake za bei chee.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Yamal ana kipaji cha asili, Olise ana ubunifu wa kipekee, lakini Kvaratskhelia anakupa kila kitu

    Asingekuwa tishio, timu kubwa kama Bayern wasingemuona
  7. M

    JamiiForums Tanzania Yamal ana kipaji cha asili, Olise ana ubunifu wa kipekee, lakini Kvaratskhelia anakupa kila kitu

    Lamine Yamal ana kipaji cha asili (talent), Michael Olise ana ubunifu wa kipekee (flair) uwanjani, lakini Khvicha Kvaratskhelia ndiye mchezaji anayechanganya vitu vitatu muhimu kwa kiwango cha juu: uthabiti (consistency), kuibuka kwenye mechi kubwa (big games mentality), na kuwa na athari ya...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Kijeshi China yahukumu mawaziri wawili wa zamani wa ulinzi adhabu ya kifo

    Mahakama ya kijeshi nchini China imewapa adhabu ya kifo yenye kusimamishwa kwa miaka miwili mawaziri wawili wa zamani wa ulinzi, Wei Fenghe na Li Shangfu, kutokana na makosa ya rushwa, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya serikali. Taarifa za Xinhua News Agency zinasema kuwa hukumu hiyo...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Abagore bafite agasura babayeho bate mu mijyi

    Ni byo, hari ibibazo byinshi abakobwa n’abagore bahura na byo mu rugendo rw’ubuzima no gushaka ejo heza, cyane cyane iyo bavuye iwabo bajya mu mijyi cyangwa kwiga kure. Ariko nanone ni muhimu kutarebera abagore bose mu ndorerwamo imwe.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yaomba Tsh Trilioni 2.3 kwa ajili ya kutekeleza majukumu ya Wizara mwaka wa fedha 2026/2027

    Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yaomba jumla ya Tsh Trilioni 2,398,290,822,000 kwa ajili ya kutekeleza majukumu ya wizara kwa mwaka wa fedha 2026/2027 Fungu 46 : Maombi ya Fedha 2026/2027 Tsh Trilioni 2,394,423,829,000 Mchanganuo 1. Tsh Bilioni 697,841,881,000 kwa ajili ya matumizi ya...
  11. M

    JamiiForums Tanzania FT: Bayern München 0 - 1 PSG | UEFA Semi Final 2nd Leg | Allianz Arena | 6 Mei 2026

    Bayern Munich Vs PSG; Leo! leo! leo! kazi ipo Ubavu chuma upande mwanaume mashine Bayern Munich, wakiwa nyumbani katika dimba la Allianz Arena mbele ya mashabiki wao, wanawakaribisha Paris Saint-Germain kwenye mkondo wa pili wa nusu fainali ya UEFA Champions League. Mchezo huu utapigwa saa nne...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ile adhabu shuleni ya kuvalishwa kibao cha Swahili Speaker ilikuwa jau sana

    Leo bhana, katika pitapita zangu za hapa na pale, nikaangukia shule fulani, Basi bana, nikakutana na mwanafunzi kapendeza zake, lakini shingoni kavaa bango kubwa limeandikwa “Swahili Speaker”. Aisee! Hapo hapo akili ikafanya flashback kali moja kwa moja nikarudi enzi za 2003 hadi 2009...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nshala: Amri ya Tume ya jaji Chande kuchunguza vifo ni batili, uchunguzi urudiwe

    Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo akichambua ripoti ya Kuchunguza matukio yaliyotokea wakati na baada ya uchaguzi ameeleza kuwa Tume hiyo haikuwa na mamlaka kisheria kutoa amri ya kuchunguza vifo, bali ilitakiwa kufanya kwa amri ya mahakama ya uchunguzi wa vifo “Coroner’s...
  14. M

    JamiiForums Tanzania FT: Arsenal 1 - 0 Atletico Madrid | UEFA Semi Final 2nd Leg | Emirates Stadium | 5 Mei 2026

    Atlético Madrid wanatarajiwa kuwa wageni wa Arsenal katika uwanja wa Emirates, kwenye mkondo wa pili wa nusu fainali ya UEFA Champions League, mchezo utakaopigwa saa nne usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Nusu fainali ya kwanza iliyofanyika katika uwanja wa Metropolitano jijini Madrid...
Back
Top Bottom