Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Kanda ya Pwani na Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Boniface Jacob, akizungumza katika mkutano wa hadhara Viwanja vya Soko Kuu jijini Arusha amesema kuwa ili kukomesha vitendo vya utekaji na mauaji holela vinavyoendelea nchini, Serikali inapaswa...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amewataka Maafisa Habari, Itifaki, Mawasiliano na Uhusiano Serikalini kufikisha taarifa sahihi na kwa wakati kwa wananchi ili wawe na uelewa juu ya mambo mbalimbali yanayotekelezwa na...
Lamine Yamal ana kipaji cha asili (talent), Michael Olise ana ubunifu wa kipekee (flair) uwanjani, lakini Khvicha Kvaratskhelia ndiye mchezaji anayechanganya vitu vitatu muhimu kwa kiwango cha juu: uthabiti (consistency), kuibuka kwenye mechi kubwa (big games mentality), na kuwa na athari ya...
Mahakama ya kijeshi nchini China imewapa adhabu ya kifo yenye kusimamishwa kwa miaka miwili mawaziri wawili wa zamani wa ulinzi, Wei Fenghe na Li Shangfu, kutokana na makosa ya rushwa, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya serikali.
Taarifa za Xinhua News Agency zinasema kuwa hukumu hiyo...
Ni byo, hari ibibazo byinshi abakobwa n’abagore bahura na byo mu rugendo rw’ubuzima no gushaka ejo heza, cyane cyane iyo bavuye iwabo bajya mu mijyi cyangwa kwiga kure. Ariko nanone ni muhimu kutarebera abagore bose mu ndorerwamo imwe.
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yaomba jumla ya Tsh Trilioni 2,398,290,822,000 kwa ajili ya kutekeleza majukumu ya wizara kwa mwaka wa fedha 2026/2027
Fungu 46 : Maombi ya Fedha 2026/2027
Tsh Trilioni 2,394,423,829,000
Mchanganuo
1. Tsh Bilioni 697,841,881,000 kwa ajili ya matumizi ya...
Bayern Munich Vs PSG; Leo! leo! leo! kazi ipo Ubavu chuma upande mwanaume mashine
Bayern Munich, wakiwa nyumbani katika dimba la Allianz Arena mbele ya mashabiki wao, wanawakaribisha Paris Saint-Germain kwenye mkondo wa pili wa nusu fainali ya UEFA Champions League. Mchezo huu utapigwa saa nne...
Leo bhana, katika pitapita zangu za hapa na pale, nikaangukia shule fulani, Basi bana, nikakutana na mwanafunzi kapendeza zake, lakini shingoni kavaa bango kubwa limeandikwa “Swahili Speaker”.
Aisee! Hapo hapo akili ikafanya flashback kali moja kwa moja nikarudi enzi za 2003 hadi 2009...
Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo akichambua ripoti ya Kuchunguza matukio yaliyotokea wakati na baada ya uchaguzi ameeleza kuwa Tume hiyo haikuwa na mamlaka kisheria kutoa amri ya kuchunguza vifo, bali ilitakiwa kufanya kwa amri ya mahakama ya uchunguzi wa vifo “Coroner’s...
Atlético Madrid wanatarajiwa kuwa wageni wa Arsenal katika uwanja wa Emirates, kwenye mkondo wa pili wa nusu fainali ya UEFA Champions League, mchezo utakaopigwa saa nne usiku kwa saa za Afrika Mashariki.
Nusu fainali ya kwanza iliyofanyika katika uwanja wa Metropolitano jijini Madrid...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.