Tunapojadili watu kutekwa ebu jaribuni kurejea tukio LA utekwaji wa Dr ulimbika . na alitaja wahusika hadi namna za simu za wahusika lakini kilichotokea hadi Leo hatujuhi .kwani waliyapeleka kimya kwa halo hiyo mambo haya yanapaswa yawekwe wazi ili yasijirudie
Mleta maada hajitambui wala hajielewi kubadilisha majina si tatizo kabisa katika nchi hii Shida ni kutumia majina ya MTU mwingine kama amebasilisha majina si ajitokeze hadharani na kuweka vyeti vyake sawa . Mimi ninarafiki yangu wa karibu tulisoma naye hadi Chuo cha ualimu alitumia jina...
Hapa jambo ni dogo sana na laweza chukua sekunde 30 kumaliza maneno yaliyodumu muda wa wiki 4 . ni kuonyesha vyeti hadharani tunarudi kwenye mjadala wa watuhumiwa wa madawa ya kulevya Mh. Makonda ni ushauri wa bure weka vyeti hadharani unaongoza jiji la wasomi na maprofesa wa kutosha ebu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.