Recent content by Mwishowao

  1. Mwishowao

    Zitto Kabwe kuwa dhidi ya Magufuli ni kujiua kisiasa!

    Lowassa.......haya majina nayapenda kweli japo wengi huwa ni wapiga deal tu.....
  2. Mwishowao

    Magufuli: Wanaopita kwenye barabara za mwendokasi chomoeni tairi za magari yao muuze

    Awanyooshe kwanza,,,,,,,,,walikua wamejisahau.....maana walishindwa ama wameshindwa kujisimamia atawaona tu wakiwa poa then atawaacha wapige kazi vyema pasipo kuingiliwa......
  3. Mwishowao

    Magufuli: Wanaopita kwenye barabara za mwendokasi chomoeni tairi za magari yao muuze

    Wewe ni mfuasi wa TB Joshua pole sana maana tayari umeshapotea,,,,,,,,,,,sheria zitabadilishwa na zaidi yatakuja ........
  4. Mwishowao

    Nafikiria kuitelekeza familia nianze maisha upya, sababu zangu ni hizi..

    Kumshutumu mwanamke tayari huo ni udhaifu yaani ume fail tayari mtihani wa maisha..........kushindwa kum control mkeo umeshatenda dhambi tayari.......kua makini sana na arrogance inayotaka kukutawala umefanikisha kiasi kidogo saaaanaaa cha maisha kua makini mrudie mungu wako atakuwezesha...
  5. Mwishowao

    TANZIA Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar, Willson Kabwe afariki dunia

    kuumwa isiwe excuse ya kupewa hukumu,,,,watu huugua na hupona watu huugua na kufa nini kigeni....pole kwa wafiwa na kama alikua mgonjwa wa siku nyingi msihuzunike sana ni mipango ya mungu
  6. Mwishowao

    Rais Magufuli: Utumbuaji majipu usitafsiriwe kama ukatili

    Nahisi we nae una JIPU,,,Si bure!!!!!!
  7. Mwishowao

    Magufuli asifiwa na umoja wa ulaya(EU)

    Wataelewa tu kua JPM ndo atawaletea Watz maendeleo ama kichochezi cha maendeleo,,,,,,,,JPM kaza kamba usilegeze hata siku moja,,,,,,
  8. Mwishowao

    Umoja wa Ulaya wapongeza utumbuaji wa Rais Magufuli

    Tutakujulisha na mengine ya miaka ya sabini ili nayo uongezee maana hayo ndo yamekua story kila kukicha hatua zinazoendelezwa na Rais ni za kuunga mkono hayo yatafikiwa tu....tatizo wengi wanataka aanze na hayo tu hasa wa upande fulani hivi,,,,,,,,,,,Kick ya JPM imeanzia alipoaanzia hivyo...
  9. Mwishowao

    Rais Magufuli: Utumbuaji majipu usitafsiriwe kama ukatili

    Zipi sasa ,,,,,weka bayana hizo taratibu hapa maana kateuliwa na ofsi ya rais,,,,,,nani wa ku introduce hizo taratibu kama sio mteuzi mwenyewe,,,,?
  10. Mwishowao

    Wanaomuunga mkono Lady Jay Dee

    You are very right ,,,,,hata mie nashangaa hivi hamjui wananwake wengi hawajui hata kukojoa wakati wa mambo fulani?,,,,,hivyo ni jambo la fahari kwa Gardena kufanikiwa kwa miaka 15.....
  11. Mwishowao

    Rais Magufuli: Tutagawa bure Sukari itakayokuwa imefichwa

    Nashangaa... hivi sukari ni muhimu kiasi hiki kwa maisha yetu?! Nawaza tu kama nguvu hii ingewekwa kwenye madawati watoto wetu wasingekaa chini. ...naendelea kujifunza.,,,,,,,SUKARI???? NI TAMU HIVI HAMNA MBADALA
  12. Mwishowao

    Rais Magufuli: Tutagawa bure Sukari itakayokuwa imefichwa

    Assumption zake zimeegemea upande wa mfanya biashara.......ujue hawa wafanyabiashara hutaka super profit,,,,,,sasa this time haipo......VIPI KAMA ALINUNUA SUKARI KIWANDANI KWA 1400/Kg?????? utasemaje hapo kulingana na hesabu yako
  13. Mwishowao

    Rais Magufuli: Tutagawa bure Sukari itakayokuwa imefichwa

    Mtaisoma tu namba CCM ni ileile,,,,JPM piga kazi baba uko sawa achana na figisifigisi za vigeugeu eti HII SERIKALI DHAIFU SANA NA RAIS NI DHAIFU,,,,,hahahaaaaaaa cheka sana eti leo HII SERIKALI YA KIBABE SANA MNAFUKUZAFUKUZA TU.........mbona vigeu geu sana kinyume na utaratibu basi HUFAI.....Ni...
Back
Top Bottom