Recent content by Mwisho37

  1. M

    CONFUSION: Yesu alikufa mwezi December akafufuka April ya Pasaka

    Nimeamini kweli wakristo wengi ni fuata upepo tu hawajui kabisa chimbuko la sherehe ya Dec25(krismas) wala hawajui chimbuko la Easter.Kwa vile tu jamaa wa Babel aliwaweza kwa kuchukua sherehe zake na kuzibatiza majina ya matukio makubwa ya kikristo.Na bahati mbaya akawambia wasisome biblia,basi...
  2. M

    Natafuta mume tuoane

    Ukisema kila dini inaabudu kwa staili yake ni udanganyifu wa shetani, msingi wa ibada yako ni nini? Wenye staili zao ni Islam, Hindu n. k.hawa wana misahafu yao wenyewe. Lakini madhehebu yaliyochakachua biblia na kufanya marekebisho, biblia inasema ni mabinti wa Yule kahaba wa ufunuo 17:1-9
  3. M

    Natafuta mume tuoane

    Wasabato watamzuia kujirusha kwenye mastarehe ya dunia labda awe msabato feki
  4. M

    Wakristo: Msaada wa ufafanuzi kuhusu kunena kwa lugha

    Ukiwauliza wanasema wanaponena hawaelewi lolote,wanaosikiliza nao hawaelewi Roho gani asiyeelewesha? Kunena lazima kusaidie kupeleka ujumbe
Back
Top Bottom