Acha basi kukurupuka, uwe unafanya uchunguzi kabla haujaandika kitu, hili lilikua ni adhimisho la kupokea msalaba kutoka parokia ya kujenge, na polisi(traffic) ndo walikua wanasimamia kuongoza watu+ magari.Hao wanajeshi kazi yao ilikua tarumbeta tu kunogesha. na tukio lilikua tarehe 7/4/2013
ila nadhan umeona na kugundua kua yy ndo alituforce kumzomea, haiwezekani tumetulizwa muda wote huo yeye anafika na kusifia suti, na pili ujue siyo tukio la kwanza, alitegemea tuendelee kumuona Mungu mtu wakati watu tumechoka na vifo + mibako ya kila wakati isiyotatuliwa.
sisi binadamu c watu wa kushukuru, hivi mlitaka sisi wenye kipato duni tuziskie ndege angani tu, lazima tuishukuru fast jet kwa changamoto waliyoleta kwenye usafiri wa anga ili na sisi wa hali ya chini tupande hizo ndege
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.