Shida nu kudanga umma hakuna asiyeoenda watalii kuja nchini lakini kwanini watumie propaganda za vidudu wanaisi wote ni watoto wakudanganywa wawe matured bana
Sent using Jamii Forums mobile app
T PESA wamenipiga hela yangu nilinunua bando wakatuma meseji mtandao umesumbua kujaribu tena wananiambia sina salio dah nikachoka kupiga huduma kwa wateja simu dakika 30 hakuna wa kuipokea .wanakatisha tamaa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitendo cha kushusa gawio kwenye matawi na kufika asilimia 9 hapo hamtapata kura na mjue chama kinajengwa na waliochini sasa mkipewa nafasi mnawasahau waliowapa kura. Sikilizeni ongezeni gawio la matawi kutoka asilimia 15 hadi 30 na hisa za walimu ziwekwe wazi kwa wamiliki woteee mhache uchumia...
Nguvu ya pesa na kiburi cha wenye mamlaka ya ustawi wa mji ndo chanzo cha mambo ya ovyo hapo, inshu kubwa ni upigaji unafika maskini na kuondoka tajiri.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.