Kahama mji wa hovyo kwa miundombinu, Serikali haijali

Kimla

JF-Expert Member
Jun 8, 2008
3,334
5,568
Licha ya wananchi wa mji wa kahama kujiletea maendeleo ikiwemo kujenga nyumba bora kwenye viwanja vilivyopimwa, lakini serikali imeshindwa kusimamia kikamilifu ujenzi wa barabara hata za matope na mitalo ya maji. Maeneo yanayopata shida sana ni mitaa ya Majengo, Sokora na Bariadi.

Hivi leo vyua imenyesha jioni hii basi wananchi wa maeneo haya wamzeungukwa na maji kama vile wako katikati ya mto jangwani DSM. Swali la kujiuliza nikwanini wasichonge barabara na kushindilia hata kwa udongo na kuchonga mitalo ili maji yafuate mkondo wake wakati wakisubiri pesa za kuimalisha barabara?

Nimetembe nchi nzima nadhani hii ni Halmashauri ya mji amabyo miundo mbinu ya mitalo na barabra sehemu korofi wamekuwa hawajali ana hawaoni tatizo wanapoona wananchi wanteseka kama vile wajenga kwenye maeneo hatalishi.

Je wananchi waifanyie nini serikali ili ione huruma ya kuimalisha miundo mbinua ya barabra na mitalo hasi mitaa ya Sokola, Majengo na Dodoma?
 
Kati ya miji yenye mpangilio ovyo kabisaTanzania, Kahama ni namba 1. Mji huo haauna barabara hata moja inayopitika kiurahisi. Hata katikati ya mji, barabara zilizopo, ni viuchochoro. Ni vyembamba, vimejaa watu, na madereva wa magari na pikipiki wakiendesha ovyo vyombo vyao.

Kahama huwezi kutembea au kusimama hata dakika 1 usisikie horn ya pikipiki au gari. Ni kamji ka vurugu nyingi, kasikoweza kutoa utulivu kwa watumiaji wa barabara.

Kahama wanastahili kutafuta eneo jipya ambako kunaweza kupimwa na kukajengwa mji angalao wa kiwango fulani. Na ile Kahama ya sasa ikaachwa iwe kama Old Shinyanga.
 
Kwa akili hizi hizi za watanzania?Usitarajie hata siku moja hili litokee.Kwanza hata kieneo kilichotengwa kujenga stand ni kidoogo sana,unajiuliza hawa mipango miji wanawaza nini!?
Kati ya miji yenye mpangilio ovyo kabisaTanzania, Kahama ni namba 1. Mji huo haauna barabara hata moja inayopitika kiurahisi. Hata katikati ya mji, barabara zilizopo, ni viuchochoro. Ni vyembamba, vimejaa watu, na madereva wa magari na pikipiki wakiendesha ovyo vyombo vyao.

Kahama huwezi kutembea au kusimama hata dakika 1 usisikie horn ya pikipiki au gari. Ni kamji ka vurugu nyingi, kasikoweza kutoa utulivu kwa watumiaji wa barabara.

Kahama wanastahili kutafuta eneo jipya ambako kunaweza kupimwa na kukajengwa mji angalao wa kiwango fulani. Na ile Kahama ya sasa ikaachwa iwe kama Old Shinyanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SIJUI KAHAMA KUNASHIDA GANI? MAGUFURI ANAJITAHIDI ILAWASAIDIZIU WAKE NI VIAZI SANA..WANAFIKILIA PESA BADALA YAKUFIKILIA INNOVATION YA KUONDOA TATIZO HATA KWA KUSHIRIKISHA JAMII

Kwa akili hizi hizi za watanzania?Usitarajie hata siku moja hili litokee.Kwanza hata kieneo kilichotengwa kujenga stand ni kidoogo sana,unajiuliza hawa mipango miji wanawaza nini!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nguvu ya pesa na kiburi cha wenye mamlaka ya ustawi wa mji ndo chanzo cha mambo ya ovyo hapo, inshu kubwa ni upigaji unafika maskini na kuondoka tajiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe msukuma mshamba wa Kahama, acha kuilaumu serikali kuu kwa maendeleo ya mji wenu Kahama. Hapo mna madiwani na meya. Hao ndio mliowachagua wawaletee maendeleo.
Next time usitishie kujamba wakati unaharisha
 
Kati ya miji yenye mpangilio ovyo kabisaTanzania, Kahama ni namba 1. Mji huo haauna barabara hata moja inayopitika kiurahisi. Hata katikati ya mji, barabara zilizopo, ni viuchochoro. Ni vyembamba, vimejaa watu, na madereva wa magari na pikipiki wakiendesha ovyo vyombo vyao.

Kahama huwezi kutembea au kusimama hata dakika 1 usisikie horn ya pikipiki au gari. Ni kamji ka vurugu nyingi, kasikoweza kutoa utulivu kwa watumiaji wa barabara.

Kahama wanastahili kutafuta eneo jipya ambako kunaweza kupimwa na kukajengwa mji angalao wa kiwango fulani. Na ile Kahama ya sasa ikaachwa iwe kama Old Shinyanga.

Sisi wenyeji tunakaita “Kamji ka Wachoji wa Dhahabu” Wakurugenzi wote wanaopitaga hapa wanawaza kupiga hela tu!!! Hakuna lolote wanalofanya kuboresha miundo mbinu ya barabara hapa Mjini.

Kuna nyumba na Hotels za maana sana hapa ila Mkurugenzi kashindwa kujenga barabara na pesa anazo. JPM amuangalie huyu DED wake.
 
Sisi wakazi wa majengo ndio tumeshakubali kurudi enzi za majaruba ya mpunga.

General tyre

Nyasubi
Muhongolo /ngaya road
Aisee hawa wakurugenzi sijui wanakuaje.
 
Je, tutawalaumu mabeberu na hili?? Wametuchukulia dhahabu yetu halafu hawajatupangia mji..

Everyday is Saturday..................:cool:
 
Je, tutawalaumu mabeberu na hili?? Wametuchukulia dhahabu yetu halafu hawajatupangia mji..

Everyday is Saturday..................:cool:
Mkuu mabeberu wa Kahama ni baraza la madiwani wakiongozwa na meya akisaidiana na mkurugenzi. Msitafute mchawi kwingine. Mchawi ni huyo mnaemuita mheshimiwa
 
Mkuu mabeberu wa Kahama ni baraza la madiwani wakiongozwa na meya akisaidiana na mkurugenzi. Msitafute mchawi kwingine. Mchawi ni huyo mnaemuita mheshimiwa
Wewe wanena......:D
Siyo kwamba tumeibiwa muda mrefu...
Daah mh wetu anayeongelea gongo ya Mtwara..

Everyday is Saturday....................:cool:
 
Back
Top Bottom