Recent content by mwichi

  1. mwichi

    Low na High kwenye 4-Wheel Drive

    Shukrani sana. Nilichobakiza ni kupambana nipate gari lenye uwezo huo
  2. mwichi

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  3. mwichi

    Namtafuta rafiki yangu mzanzibar Wahida Mohammed (Entry UDSM 2006)

    Yes of course and I really appreciate it
  4. mwichi

    Namtafuta rafiki yangu mzanzibar Wahida Mohammed (Entry UDSM 2006)

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  5. mwichi

    Namtafuta rafiki yangu mzanzibar Wahida Mohammed (Entry UDSM 2006)

    Duh! Kumbe watu wa humu wanafahamiana bila kujijua!!?
  6. mwichi

    Ni kiwanja gani ni mbadala wa La Chaaz, Sinza?

    Hata mimi nimeliona pia.
  7. mwichi

    Ni kiwanja gani ni mbadala wa La Chaaz, Sinza?

    Kumbe unapatikanaga hapa!?
  8. mwichi

    Ni kiwanja gani ni mbadala wa La Chaaz, Sinza?

    Kumbe unapatikanaga hapa!?
  9. mwichi

    Mama Samia ameanza vibaya kwa kupuuza kuvaa Barakoa

    Hakuna asiyekuwa mjinga dunia hii. Nauliza ili unitoe huo ujinga kwenye hili ili nibaki na ujinga wa vitu vingine. Wengine (akiwemo Kijazi) tuliambiwa ni shida ya upumuaji(hii nilishahisi ni COVID-19) ila kwa JPM hatukuambiwa, ndio maana nilitaka unieleweshe juu ya kauli yako. Hata ukinijibu...
  10. mwichi

    Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

    Aliyekuwa mlinzi wa JPM, jamaa mweusi hivi ana mwili mkubwa na si rahisi kutabasamu. Alidai kuwa aliachwa Nairobi na alishatangulia mawinguni.
  11. mwichi

    Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

    Duh! Sasa hii ni hatari kwa taifa. Inaonesha kuna udhaifu mkubwa sehemu fulani
  12. mwichi

    Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

    Kama hili lilitokea basi ni dhahiri kwamba wale watu wanaodai kupata taarifa kutoka ndani(serikalini) walizitengeneza tu baada ya kudokezwa kwamba hayo magari yameonekana mtaani. Nipo hapa kujifunza.....nielimisheni.
  13. mwichi

    Mama Samia ameanza vibaya kwa kupuuza kuvaa Barakoa

    Mbona matusi tena mkuu? Toa hoja kistaarabu tujifunze
Back
Top Bottom