Pia kuna kitu kinaitwa time value for money kwa maana uwezo wa kununu kitu kwa shilingi moja mwaka jana unapungua kila siku. Tukubali ASA mmewaangusha wakulima na mnatakiwa muwajibike.
Hii inatisha kuona DED na mkuu wa wilay wakitengeneza timu ya kuwadhulumu wananchi kama siyo kuwapora. Hawa ni majambazi na wezi pamoja na hao waliotajwa hapo hawatakiwi kuwa kkwenye ofisi za umma
Swala la Makuyuni limeonyesha ni jinsi majority ya bviongozi walivyo wabadhilifu na jinsi ambavyo wako kwa ajili ya matumbo yao na si kuwasaidia wanchi
Hii imetokea katika kijiji cha Makuyuni mkoani Arusha tangu 2017 hadi leo ambapo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Monduli amedhulumu taasisi za dini ya kiislam na kikristo na baadhi ya wananchi fidia ya ardhi yao baada ya TANESCO kupitisha umeme wa kilovolti 400 katika maeneo yao.
Makuyuni ni...
Hii imetokea katia kijiji cha Makuyuni tangu 2017 hadi leo ambapo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Monduli amedhulumu taasisi za dini ya kiislam na kikristo na baadhi ya wananchi fidia ya ardhi yao baada ya TANESCO kupitisha umeme wa kilovolti 400 katika maeneo yao.
Makuyuni ni kijiji lakini ili...
Mama anatakiwa aanze upya kwani wengi wa ma DED, DC na ma RC ni wachumia tumbo na wamechangia pakubwa kuwadhulumu wananchi wanaowaongoza na kufifisha imani ya wananchi kwa serikali yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.