Procedure ni zile zile ila tofauti ni kwenye nyaraka utakazozipeleka bima. Hususan zile zinazohusiana na Fomu za usimamizi wa mirathi maana hapa hii procedure kwenye scenario uliyoisema hakuna kifo.
Pia hakutakuwepo na maombi ya kusimamia mirathi kwakuwa mhanga bado yupo hai.
Nazani umenielewa...
Kuna baadhi ya vifungu katika sheria ya ndoa haviko sawa mkuu. Inatakiwa kuviboresha kuna namna vinaleta ukakasi katika utoaji wa haki....
Naomba unipigie kura....
UTANGULIZI
Sheria ya ndoa Sura ya 29 ya mwaka 1971 iliyofanyiwa marejeo mwaka 2019 ni sheria kuu inayosimamia masuala ya ndoa nchini Tanzania. Sheria hii inakabiliwa na mapungufu mengi na changamoto nyingi miongoni mwa hizo changamoto ni pamoja na utata wa kimajukumu kati ya mme na mke katika...
UTANGULIZI
Tumekuwa tukishuhudia ajali nyingi nchini Tanzania zinazokea mara kwa mara ambapo kupitia ajali hizo wapendwa wetu huweza kupoteza maisha, wengine huweza kupata vilema vya kudumu. Jambo la kusikitisha wengi wetu hatuna elimu au uelewa wa kisheria kuhusu hatua zipi zichukuliwe na...
UTANGULIZI
Andiko hili ni maalum kwa vijana wote wapambanaji wenye ndoto ya kurejesha, amani, furaha ya familia iliyopotea, dhiaka, dharau na kulipa madeni wazazi wetu waliyokopa pindi wanatuhangaikia. Ungana nami kwa kusoma nilichokiandika ukivutiwa nacho naomba usapoti andiko hili kwa...
TUMPE MAUA YAKE MHE. SAMIA
( picha kwa hisani ya Ikulu.go.tz)
UTANGULIZI
Andiko hili limelenga kumpa maua yake mhe. Samia Suluhu Hassan kwa uongozi wake jadidi wa nchi yetu ya Tanzania. Naomba kuchukua fursa hiii kumpongeza kwa dhati mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kumpa maua yake kwa kuiongoza...
UTANGULIZI
Mmomonyoko wa maadili ni kutozingatiwa kwa utaratibu wa maisha unaokubalika katika taifa ambalo limejiwekea na madhara yake ni makubwa kwa jamii na hivyo kuathiri kuongezeka kwa vitendo vya ushoga, uasherati na uzinzi, wizi, ulevi, uvutaji bangi na matumizi ya dawa za kulevya ambavyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.