Recent content by Mweru Mzeru

  1. M

    Mweyekiti ACT-Wazalendo Mbozi aenguliwa

    Kumbe mnamuogopa rahim hapa mnamtaja yumo humu na amekuwa mwiba kweli kwenu!!!ACT kweli inawapa matumbo jojoto
  2. M

    Wanachama wa CHADEMA Mbozi wajiunga ACT -Wazalendo

    Tunaapenda kukanusha ujinga na ujinga aliopost tahila wetu wa vwawa sinsala mdude chadomo kuwa kuna wanachma wetu wa ACT mbozi wamejiunga chadema habari hizi ni uzushi na uongo chama chetu hakina mataila wanao weza kujiunga chama cha wajinga kama hicho na hakuna mwanachama ambae amewahi kugombea...
  3. M

    Wanachama wa CHADEMA Mbozi wajiunga ACT -Wazalendo

    Kwa habari zilizovuja ni kuwa wanachama 20 waliokuwa maarufu CDM jimbo la mbozi mashariki wameamua kujiunga na chama cha ACT-Wazalendo. Kwa habari zilizothibitishwa na mmoja kati ya viongozi wa chama hicho alidai kuwa katibu wa chama hicho wilayani mbozi mh. Rahim Nzunda ndie aliewapokea...
  4. M

    Mweyekiti ACT-Wazalendo Mbozi aenguliwa

    Kambona ni muhunii na ni kweli aendani na kile chama huku cuf alikuwa ni mfua bendera za chama na katibu wake Rahim Mohamed yule kijana aliekuwa bongo star search ndio kiukweli tumekuwa tukiomuona yupo busy kuzinadi sera za chama!! Na mara nyingi amekuwa akijitahidi kumfichia siri huyo...
  5. M

    CHADEMA Mbozi wasombwa kituoni

    Ni baada ya kuonyesha kuwa wao ndio walihusika kumtia adabu mwenyekiti wao bwana China na kumpa adabu ya kutosha kabisa!! Hivyo basi jeshi la polisi limewatia mbaroni wahusika hawa viongozi wa na cha kuchekesha redbriguad waliokula mkong'oto wametelekezwa bila msaada wa matibanu
  6. M

    CHADEMA Mbozi wasombwa kituoni

    Gundu linazidi kuwaandama Chadema!! Viongozi madiwani wao na viongozi wa serikali za mitaa wasombwa ndaniii polisi vwawa na mpaka sasa wananyea debe
  7. M

    Mbozi: Makada wa CHADEMA watwangana makonde kugombea nafasi ya uwakilishi bungeni

    Chadema ni chama cha wahuni tanzaniaa hii
Back
Top Bottom