Jaman wadau kati ya course ya PHARMACY & FOOD NUTRITION AND DIETIES ipi bora zaidi kimaslahi na ukisoma food nutrition ajira zake zinakuwaje i mean utaajiriwa wapi ???
Kweli man nacte wazinguzi tu kwanza saiv watu afya nkama wameambiwa nn sjui kila mtu anataka afya sasa ukisubiri nacte watakuuuwa mm nimesubiri toka 2014 nmeamya mwaka huu niende st josep wamenchagua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.