Recent content by mwengeso

  1. mwengeso

    GE2025 Ukienda kupiga kura mwaka huu, wewe ndiyo tatizo la Tanzania!

    Ndio watapita lakini kitanukishwa wakiingia madarakani na HUYO atakimbilia kisiwani
  2. mwengeso

    Makinda yaliyofia kiotani.. Ujumbe kwa watekaji

    Kuna dalali za kutokea vurugu nchini na MHUSIKA kukimbilia kwao katikati ya bahari. Nawaza tu kwa sauti
  3. mwengeso

    Makinda yaliyofia kiotani.. Ujumbe kwa watekaji

    "mob justice" ya wenye magwanda tumeiona, aluuu!
  4. mwengeso

    Siku tukimtumia Polepole vizuri, Nchi yetu itapiga hatua vizuri sana

    Maelezo yako umechinganya kwa kujua au makusudi. Kwa kuwa naamini unajua tofauti ya mamlaka na madaraka ya Balozi (Mwakilishi wa Rais kimataifa), Waziri (mwakilishi wa Rais kwenye sekta nchini) na Mbunge (mwakilishi wa wanajimbo moja)
  5. mwengeso

    Sheikh Fondo: Adhabu kali itawafika kwa wale viongozi ambao hawatawali kwa namna Mungu na Mtume wake walivyofundisha

    Wenye mamlaka, kwa sasa, watawawezesha wanao wataka kupita, kwenye Uvhaguzi Mkuu, kwa kila hali, lakini, lakini, lakini utawala wao ujao ni MTIHANI
  6. mwengeso

    Sheikh Fondo: Adhabu kali itawafika kwa wale viongozi ambao hawatawali kwa namna Mungu na Mtume wake walivyofundisha

    Kwa jinsi mwenendo wa kuelekea Uchaguzi Mkuu ulivyogubikwa na sintofahamu nyingi, "Yajayo yanafikirisha".
  7. mwengeso

    Siku tukimtumia Polepole vizuri, Nchi yetu itapiga hatua vizuri sana

    Eleza nikuelewe unapodai "kinacho mpa shida zaidi Pole pole ni kuwa nje ya mfumo na si msukumo wa kizalendo" wakati yeye mwenyewe alijiuzuru nafasi ya Ubalozi yenye heshima na manufaa binafsi kibao?
  8. mwengeso

    Kama Ngosha angekuwepo, yule jamaa bonge Mzimbabwe angetia mguu wake kweli hapo Ikulu?

    Magufuli alishtumiwa kwa ukweli wake dhidi ya wanasiasa uchwara, mafisadi na watumishi wa umma waliotumia madaraka yao kwa manufaa binafsi
  9. mwengeso

    Huenda Rais Samia akashinda uchaguzi kwa asilimia 97%. Watanzania walishachoka na Upinzani wa mchongo

    Kama umeyatambua hayo na kuyakubali, ulichohitimisha ni kingano. Muda utaamua
  10. mwengeso

    Barua ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwenda FIFA

    Uko sahihi. Kama ni kweli viongozi wa CHADEMA hawatatofuatiana na wa CCM aakifungia kanisa la Gwajima na kuwanyima haki ya waumini wake kuabudu kinyuma na Katiba ya Nchi Kimsingi, yaelekea viongozi wengi wa siasa wameanza kulevywa na "political power" Kama ni kwe
  11. mwengeso

    GE2025 Matumizi ya bilioni za CCM kwa ajili ya uchaguzi mkuu

    Nawaza tu kwa sauti, hivi hizo bilioni zilizokusanywa na CCM, wakati wa harambee, zitatumikaje katika miezi 2 ya kampeni (zaidi ya 1b kila siku) ili hali ya huduma za jamii nyingi zinahitaji fedha kuboreshwa. Najiuliza hivyo kwa kuwa Serikali iliyoko madarakani ni ya CCM. Na isitoshe, ushindi...
  12. mwengeso

    GE2025 Ghalib Said Mohamed wa GSM (zamani Home Shopping Center) na wenzake waichangia CCM Sh. Bilioni 10 za Uchaguzi

    Hoja yako ina mashiko. Kwa kero ya umeme na maji Dsm, bilioni 10 zingetatua kabisa badala ya kutumika kutafuta kura wakati ushindi uko wazi
  13. mwengeso

    GE2025 Makosa ya kiuongozi aliyoyafanya Rais Samia na kujikuta anapoteza uungwaji mkono wa wananchi kwa wingi na kasi ya kutisha

    Tunza tumaini lako hilo ili baada ya Oktoba✅️✅️✅️ zako utupe mrejesho
  14. mwengeso

    Je, kauli ya Nchimbi kuwa raisi hatakiwi kuwa dhaifu inamaana gani ?

    Kilichompata Magufuli utakuwa mwendelezo. Muda ndio mwamuzi
  15. mwengeso

    Ukimya wa Zitto Kabwe na wenzake dhidi ya kauli ya Polopole wanaCCM "kuijua ACT WAZALENDO" ni ngumu kumeza

    Fikra potofu haswa. Kama kuna Uchaguzi Mkuu ambao CCM inashiriki huku ikiwa na pancha nyingi kwenye uongozi, ngazi zote, ni wa mwaka huu. Kitendo cha kumwengua January na Mpina kujiunga na upinzani kama mgombea Urais ni keti ya ushindi kwa vyama vya upinzani. Iwapo vyama vya upinzani...
Back
Top Bottom