Recent content by mwenegoha

  1. M

    Kumchafua Januari Makamba: Onyo la Mzee Makamba kwa Edward Lowassa

    Nimetoka kusikia mazungumzo ya Mzee Yusuf Makamba na Mzee Mwenda wa Dar es Salaam wakati Mzee Makamba akiwa Lushoto na alipoambiwa na mtu wake wa ndani ya kambi ya Lowasa Bwana Matson Chizi kwamba Lowasa ameidhinisha mpango maalum wa kumchafua Januari Makamba mpango unaoratibiwa na Huseni Bashe...
  2. M

    January Makamba Umetuangusha Kuhusu Ufisadi Escrow !

    Kambi ya Lowassa inaanza kubabaika na kuhangaika na Januari Makamba. Wote tunajua kwamba kwenye vikao vyao huyu pekee ndiye wanayemtaja kwamba ni tishio na sasa wameanza kuja na hii ya kitoto ya kumhusisha na ulaji wa IPTL. Hii nayo itabuma. Tatizo la watu wa Lowasa hawafikirii kwa kina. Katika...
  3. M

    Urais 2015: January Makamba moto wa kuotea mbali

    duh. uchafu tena?.
  4. M

    Urais 2015: January Makamba moto wa kuotea mbali

    Unaweza kulinganisha UHUNI Wa JANUARY MAKAMBA na ule Wa MBOWE MZEE WA BILICANAZ?.. AU WA LOWASSA MFIRISI NCHI?.
  5. M

    Toa Maoni: Uchaguzi wa Viongozi wa Kitaifa ni September 2014. Nani unataka atuongoze?

    chadema haijawahi kufanya uchaguzi. Hufanya uteuzi
  6. M

    Urais 2015: January Makamba moto wa kuotea mbali

    Ahsante sana kwa kueleweka vema. Nasema Tena umeeleweka Sawa Sawa.
  7. M

    Urais 2015: January Makamba moto wa kuotea mbali

    Unataka kusema nini hasa nawe?...Nani aliyelifanyia mema Taifa unayemjua hebu tutajie hapa.
  8. M

    Urais 2015: January Makamba moto wa kuotea mbali

    Nini unataka kusema?. Mbona una hang hang tu hapa?
  9. M

    Urais 2015: January Makamba moto wa kuotea mbali

    Hovyo kabisa. Super pointless
  10. M

    Urais 2015: January Makamba moto wa kuotea mbali

    Amesema atatoa vision yake siku si nyingi kutoka sasa. Tumsubiri tuone.
  11. M

    Urais 2015: January Makamba moto wa kuotea mbali

    Mbona wabaguzi nyie?... Mnataka kina Nani sasa walete mada?... Hata JF kuna vijana, waacheni vijana wafanye yao.
  12. M

    Urais 2015: January Makamba moto wa kuotea mbali

    Hongera zake sana Rais Wa watu wote. Kijana asiyependa makuu. Hata Mwanza nasikia Habari ndio yeye
  13. M

    Changamoto nne za Edward Lowassa kwenda Ikulu 2015

    ''Mungu akitaka linakuwa hata kama watu wote hawataki'' - JK AKIMBARIKI JANUARY MAKAMBA
Back
Top Bottom