Nimetoka kusikia mazungumzo ya Mzee Yusuf Makamba na Mzee Mwenda wa Dar es Salaam wakati Mzee Makamba akiwa Lushoto na alipoambiwa na mtu wake wa ndani ya kambi ya Lowasa Bwana Matson Chizi kwamba Lowasa ameidhinisha mpango maalum wa kumchafua Januari Makamba mpango unaoratibiwa na Huseni Bashe...
Kambi ya Lowassa inaanza kubabaika na kuhangaika na Januari Makamba. Wote tunajua kwamba kwenye vikao vyao huyu pekee ndiye wanayemtaja kwamba ni tishio na sasa wameanza kuja na hii ya kitoto ya kumhusisha na ulaji wa IPTL. Hii nayo itabuma. Tatizo la watu wa Lowasa hawafikirii kwa kina. Katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.