Wadau nimekua nikiuliza maswali kwa watu mbali mbali juu ya ubaharia.sijui ni kazi ya namna gani,wana majukumu gani,wanasomea wapi na pia wanalipwa nini!?wajuzi wa mambo tujuzane maana kila mtu anajiita baharia ili aonekane mjanja.
Naomba tuelekezane.
Siku za hivi karibuni nmekutana na binti mmoja niseme ukweli nilimpenda, nilijitambulisha kwake japo alinijua kama rafiki wa rafiki yake. Alikuwa kabanwa kidogo na mambo yake, nikampa kama wiki hivi kabla ya kupanga kukutana nae ili nimwambie ya moyoni.
Tumekua tukiwasiliana kawaida tu. Kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.