Recent content by mwendokasikifwedha

  1. M

    Kwa mwanaume alie na nia ya dhati

    Ha ha ha! Jaribu kuwapunguza wengine kwa mama zao kwa muda ili ukamate chombo.
  2. M

    Wanaume ifikie hatua muwe na moyo wa kibinadamu jamani

    Pole Dada! Nakuomba ujitahidi kutofautisha tabia za wanaume kwani kwa kufanya hivo unaweza upa AMANI moyo wako . Kmf tabia alionayo huyo boy wako ni tofauti nilonayo Mimi.
  3. M

    Meseji (SMS) za dawa za Kiganga: Je, hawa ni matapeli? TCRA mko wapi? Namba wanatoa wapi?

    Yaani hawa jamaa wananikera!!!? Afu nashanga kwa nn ile sheria ya makosa ya kimtandao haiwagusi. Tcra mpo wapi?
  4. M

    Macho ya Wanaume

    Ha ha ha ha ha! Kweli mkuu ,inapunguza stress Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    Wanasayansi: Wanawake wenye makalio makubwa wana akili kuliko flat screen

    Hii kali tena, kuna kipimo chochote cha kitabibu ama cha sangooma kinachoweza kutambua upeo wa huyo umtakaye? Km kigezo ni kuhudhuria darasani ,mbona dadaangu pale yudomu anakaribia kutunukiwa degree pamoja na ukilaza wake?
Back
Top Bottom