Recent content by MWEME

  1. M

    Godbless Lema - aliyekamatwa sio katibu wake ila katibu wake anaitwa Lucy Fransisco

    <br /> <br /> hivi ccm na wana magamba wote wanafikiri kweli wataiharibu chadema kwa vituko?hayo magazeti ya habari leo na uhuru nafikiri pia wahandish wake wote walifeli masomo hata wanavoandka ni dhahili kabisa no profession ethics.
  2. M

    UDOM: MGOMO wa wanafunzi warindima

    Hao udom acha wakome,na wale walimu wa ng"ong"ona wenye matatizo lukuki vp?naskia rais wao RUTA a.k.a nshomile alikataa wao kuwaunga mkono wenzao.nyie walimu gomeni ili maji yaje,miundo mbinu,nk,tatizo la pale Uongozi wa Ruta wote vibaraka wa CCM ndo maana baada ya kuzindua chuo aliwaita akina...
  3. M

    Kufungua tawi la chadema udom

    Waaah.hilo ndo tulitaka kusikia maana siku zote ccm udom ingawa wapo kiduchu wanajigamba.Kwa taarifa yenu nyie wenye mawazo eti udom wote ccm polen sana na mtambue udom km chuo kikuu chadema au upinzani ndo wengi ila ccm kama ada yao wanajipendekeza kwa jina la chuo.kama ccm hawaamin hilo...
  4. M

    CHADEMA kweli ni shwari au ni kauli za kisiasa tu ?

    Unaonekana huna la kuchangia.Kama elimu ni uongozi basi mafisadi wasingekuwepo maana wale wote wana division one tena wamesoma vyuo vizuri.Please,no research,no data then no right to speak.
  5. M

    Re:WASSILA NANI KAKUTUMA?

    CHADEMA HAKUNA KUONGEA NA SERIKALI YA JK HADI IKIRI HADHARANI KUWA ILICHAKACHUA USHINDI WA JK:angry:
Back
Top Bottom