Mimi nafikiri wageweka mdaharo wa wanaopinga na waunga mkono hoja uwe live Ili watufumbue macho wote,Mimi mpaka saizi wanaopinga wameshinda na wamenishawishi zaidi
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Jamani ni mejitahidi kusogea karibu na tv lakini sijaelewa huko uliopelekwa bugeni ulikuwa mkataba au makubaliano?
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Hamza anahema sana daa pesa ni balaa tupu Mimi naona Bora jeshi lihamie pale Kwa ajili ya kuopalete shughuli zote bandalini kama shida ni uaminifu jeshi likafanye KAZI hapo
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Watz tunapenda kulaumu badala ya kuhusika Moja Kwa Moja,Sasa unamtuma Nani Fanya wewe sehemu Yako na wewe
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Njoo bariadi mjini ushuudie kamatakamata ya pikipiki zenye plate namba nyeuupe TRA ni balaa sana.boda boda hawana hamu,siku ya mbina (Ngoma)waliwakamata kinoma Tena Kwa kuviziwa ,yaani unaviziwa unaenda kupata huduma ktk ofisi zilizo jirani wanakudaka, Sasa Cha ajabu pesa zikienda huko...
Yani ACHA tu mie nimejiandaa kwenda kazini mwanangy amenikumbusha Leo ni siku yangu mpaka nikaona aibu nikaishia kumpa Hela ya dagaa anunue tukaange maana nyanya Sina,mafuta Sina ila chumvindo kunajirani kanihakishia atanipa nisiwe na wasiwasi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Sent from my...
Pointi unayo usikilizwe ila wafanyazi wa serikali mjiongeze jamani mitaji mnayo ya kutosha,fanyeni shughuli za ziada jamani hata biashara ,mkitegemea serikali mtazidi kufamaskini, serikali Haina Nia njema na nyinyi ila ni kukukamua mpaka utamu wako uishe Kisha kukutupa huko na 33% Tena ya pesa...
Geita wa badilike kama unaishi na mtu anayekutishia maisha karipoti polisi hata kama ni mme au mke au rafiki wa karibu Ili kukomesha mauaji, kingine geita imejaa wahamiaji wa mikoa mingine hasa waliokimbia makwao Kwa makosa mbalimbali waliyoyatenda katika jamii zao hivyo geita wanajificha Kwa...
ACHA mwl avune alichopanda,wakati wa uchaguzi wanakisaidia Chama Cha kijani kushinda Kwa kuwaibia kura,mimi hata asipolipwa sawa tu maana anatumikia Chama chake [emoji1][emoji1][emoji1]
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Kweli,Rais fanyia kazi riport hiyo ya mkaguzi vilevile fuatilia na capitation mashuleni,watu wanakula tu Hanna kinachofayika huku mashuleni yani stupid kabisa
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.