Unajua nimewahi fanya downloading lakini kiukweli mimi ni wale watu ambao tunaona raha tunapogeuza karatasi zaidi ya kuscroll kwa mouse, halaf ntakuwa natumia maeneo ya mbali na electronics kwa hiyo hard copy ni nzuri zaidi
Najua kwamba fiction crime za James Hadley Chase zimesomwa na watu wengi sana na kwa mimi ni vitabu pekee ambavyo viliweza kuweka picha ya action kama a movie kwa kupitia maneno tu, nimesoma vitabu vyake vitatu na sasa nimegundua kwamba kabla hajafa ameandika vitabu zaidi ya 80(sina uhakika...
Desktop yangu ilikufa motherboard nikaamua ninunue PC mpya, nimebaki na vifaa vya ndani so kama unataka kuzipa kazi tena HDD na RAM ya 2GB(Micron MT8JTF25664AZ-1G6M1 1Rx8 PC3-12800U) nishtue 0765478513(sio whatsapp) halafu ntakusogezea mwenyewe popote ulipo (ndani ya DAR) any time
detail zake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.