Mimi nadhani dhambi haiwezi kuondolewa kwa kufunikwa bali ni kwa kuitubia na kuwa na nia ya dhati ya kutoirudia. Kutoonyesha Bunge "live" hakuwezi reta heshima ya bunge, bali ni kuzuia haki ya wananchi kupata habari kwa manufaa ya watu wachache wanaojilinda maovu yao kwa kisingizio kama hicho...
MI napenda sana hicho kilimo na drip irrigation, niambieni inakuwaje? kuhusu gharama za uendeshaji wa shamba kwa heka ni kiasi gani? mashamba yanapatikana wapi, na masoko yake yakoje? simu yangu ni 0768 417121, na 0713 658618 ni mgeni sana kwenye mtandao naomba msaada wenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.