Recent content by MWASU MSHAA

  1. M

    Low Profile ni Mbinu itakayokusaidia katika mapambano ya Maisha

    Write your reply...Andiko bora na darasa kubwa sana kwangu asante sana ROBERT HERIEL MTIBELI
  2. M

    Akili yangu imetekwa na kamari

    Mkuu kwa faida ya wengi tunaomba utuambie ulifanikiwaaje kuweza kuachana na huo mchezo tupe elim mkuu
  3. M

    Nahitaji mtu mwenye wazo la Kibiashara ambalo litatusaidia kutengeneza pesa nyingi

    kama unapenda kuwa na kiwanda unaweza Nunua mashine ya Kukamua mafuta ya alizeti kama wewe ni mwenyeji dodoma basi malighaf zinapatikana kwa wingi sehem za kogwa wananunua alizeti kwa wingi wakati wa mavuno zikiwa bado zina bei ya chini wanaweka stoo..! kwa pale mbandee njia panda ya kwenda...
  4. M

    Nahitaji mtu mwenye wazo la Kibiashara ambalo litatusaidia kutengeneza pesa nyingi

    Mimi ninao uzoefu wa biashara ya dagaa kutoka ziwa victoria mwanza nina uzoefu wa dagaa za binaadam, furu. na pia zile za mifugo. pamoja na masoko yake
  5. M

    Nahitaji mtu mwenye wazo la Kibiashara ambalo litatusaidia kutengeneza pesa nyingi

    Kwanza kabla na mimi sijatoa ushauri wangu ningependa kukushauri jambo moja kwa hicho kiasi ulichokitaja ni hela nyingi sana unaweza ukaigawa hata mara tatu au nne kisha ndio ungetafuta watu tofauti tofauti wenye mawazo mazuri za biashara sasa hapo baada ya kuchuja na kuangalia yale utakayopenda...
  6. M

    Msaada bei ya gunia la dagaa wakavu mwanza

    Mkuu mimi shughuli zangu ndio hizo ila kwa sasa nimetoka nimekuja msibani nitarud huko mwanzon mwa week ijayo
  7. M

    Msaada bei ya gunia la dagaa wakavu mwanza

    Mkuu inategemea kwanza unahtaji dagaa wa aina gani kuna wale wasiokuwa na mchanga pia wanakuwa wanaanikwa kwenye vichanja au sehem nyingine ambapo kunakuwa na miamba hawawezi kutengeneza chanja wanakuwa wanaanika kwenye nyasi. pili kuna wale wa mchanga wanakuwa wanaanikwa chini kwenye mchanga...
  8. M

    Maisha yangu nimeyaharibu mwenyewe

    Mkuu watu hatulingani, wala hatufanani mitizamo, kinachonifurahisha mimi hakiwezi kukufurahisha wewe pia. kuwa tu mvumilivu seem unazo hazina maana kwako wewe ziruke tu wala hautapungukiwa chochote..! kuna wengine wanaelimika na kuburudika
  9. M

    Tukio la Ubakaji shuleni: Wazazi muwe Makini na watoto mnaopeleka shule za Bweni

    Write your reply...swali ambalo nimebakia nalo kicwani ni je ulifanikiwa kugundua ni kwa nini huyo binti aliyebakwa alikuwa mtu wa kulia na kuumwa na pia hakuwahi kuwa na furaha kabla ya kubakwa je alikuwa na tatizo gani jingine lililo mpelekea yeye kuwa katika hali hiyo kwa muda mrefu?
  10. M

    Evelyn!!! Siku saba ngumu zaidi nilizowahi kuzipitia maishani

    Write your reply...vip kuhusu yule dada mwenye kithembe ambaye uliambiwa evelyn alivyomuona alishikwa na wasiwasi ulikuja kumfaham?
  11. M

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Mimi Nikiwa kama mteja wenu wa muda mrefu naombeni msaada wenu usiku wa rarehe 19 mwenzi wa Tatu mwaka huu niliibiwa com yangu sina ya tecno j7 niliripoti polisi na rb ninayo nilikuwa naombeni msaada wenu je ili niweze kuipata com yangu nifuate taratibu zipi na gharama ni kiasi gani? Number za...
  12. M

    Ansbert Ngurumo: Muda wowote naweza kufa maana natishiwa kifo

    Lakini pia wakina Musiba walipotaja oroza yawatu hatari kwenye mitandao polisi walisema wamelipokea na wanafanyia kazi taarifa zozote wanazopewa hata kama aliyewapa ni mwenda wazim
Back
Top Bottom