Ndugu zangu habari za leo,wote tumesikia hotuba ya raisi jana kwamwenye akiri nihotuba nzuri iliyojaa upendo,amani na mshikamano,lakini baadhi ya watu wana misimano ya kisiasa juu ya serikari 2 au 3,ukweli ni kwamba serikali3 nimisimano ya baadhi yaviongozi wa siasa ambao wanaona serikali3...
Mmeanza sababu ccm kushinda nilazima halafu aliyewaambia kwamba kituo kimoja mnaweka mawakala10 ndo vurugu tunazo zikataa na chopa hazikubaliki kesho,kama mmejipanga vurugu jeshi la police limejipanga sana kukabiliana na vurugu vilivyo na lipo imara.
CHADEMA kwanini mnapenda vurugu,kama Tanzania hamna serikali mtaona,mmezoea kushinda kwa fujo lakini saahizi tumebumbuluka ushindi wa aina hiyo haupo tena.
Wana Jf natiririka jamvini kuwafahamisha watanzania wenzangu juu hili,kiapo ni jambo ambalo linaingia kwa mtu kupitia roho,yaani unaweka maagano kati ya roho yako mbingu na aridhi huku nyama za mwili wako zikiwa shuhuda,ambacho hicho kiapo kinaweza kumalizika kulingana na muda ulio aapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.