Kuna jamaa anatafuta kaxi ya kupaka rangi nyumba ya aina yyte hata maofisi na makampuni, anauzoefu mkubwa wa kupaka rangi, mwenye kuitaji kuboresha nyumba, ofisi, kampun, kupakwa rangi na Ku repairs yupo kijana anapatikana yombo-temeke.
Nnatafuta kazi inayohusiana na mambo ya Microsoft office computer jaman, naombeni msaada jaman, hata za usafi maoffisini na kazi za mauzo mauzo pia kama zipo Nina uzoefu nazo.
Laini ya mtu ikisajiriwa Mara moja, baada ya miaka2 au 3 mnamtumia SMS ya kukamilisha usajiri, eti mwanzo ilikuwa ni usajiri wa awali na asipofanya hivyo mtamfungia, hii haini ingii akilini, kwani MTU akinunua lain Mara ya kwanza na kuisajiri kwann huwa hamkamilishi usajiri.
Huu ni usumbufu...
Kaxi zote hizi unataka ufanye wewe, mmh! Nilijua unatangaza nafasi ya kazi kwa watu wenye fani hizo, kumbe huyu ni MTU mmoja, ana mikono sita au? Hii ni kazi ya teem work sasa!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.