Recent content by Mwasele101

  1. M

    TCU na 3.5 GPA for diploma holders

    [emoji23][emoji23]Haya bhana sawa toto
  2. M

    TCU na 3.5 GPA for diploma holders

    Huyo bi mother kilio cha wengi kitampa laana ngoja tuone
  3. M

    TCU na 3.5 GPA for diploma holders

    Kumbuka wapo watoto wa maskin ambao soma soma yao ni kuunga unga na leo ghafla unabadil qualifications for bachelor degree unategemea wakimbilie wapi?? Unakumbuka moja ya sera ya ccm?? Ilkuwa kusaidia watto wa maskin maana ndo anavyojiita rais wako kwamba ni rais wa watu wa hali yq chini...
  4. M

    TCU na 3.5 GPA for diploma holders

    Hawajasema kama ni kwa hawa waliomalza mwaka huu ama niaje.. Tena wakaenda mbali wamesema kabsa kama HUNA 3.5 USIJSUMBUE KUOMBA chuo.. At least wangesema kama ni wa mwaka huu ama kwa wote... 3.5 mtu una familia uku unasoma, bfu za walimu na wanafunzi dah
  5. M

    TCU na 3.5 GPA for diploma holders

    HAbari wanandugu wa jamii forum Hivi anavyofanya Ndalichako ni kuua elimu ama kuinua elimu? Kwa sisi wenye diploma tunaotaka kujiunga na chuo kwa mwaka huu wa masomo wametuzungushaa weee mwsho wa siku ghafla bin vuu wanatoa sifa za muombaji awe na 3.5 GPA na average ya B+ wakati ukii convert...
  6. M

    TCU wanatarajia kufungua CAS kuanzia Jumatatu kwa wale wa diploma

    Guidelines book imeshatoka man wanataka 3.5 GPA
  7. M

    Rais naomba ututumbulie TCU

    Dah inasikitisha maana mpk leo watu wa dplma kwenda bachelor hatujui atma yetu ni nn
Back
Top Bottom