Hakuna kulemba.kuundiana Tume ndo kumetufikisha hapa.immediate action ndo siri ya maendeleo popote pale duniani.
Tukianza kupeana muda tutaruhusu mianya ya rushwa. Unadaiwa lipa! Full stop.
Hii ndio serikali inayohitajika kwa sasa.wachache wamenufaika vyakutosha kwa sababu ya hiyo kuulizana ndani.ukimplipua mbele za watu ajaye atakuwa na nidhamu. Angalau naona heshima inarudi katika jamii.watanzania tujifunze kutafuta kipato cha halali.
Big up JPM na kamanda wako majaliwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.