Recent content by mwaraki

  1. M

    JamiiForums Tanzania Serena Hoteli matatani, TRA wavamia (ufafanuzi)

    Hakuna kulemba.kuundiana Tume ndo kumetufikisha hapa.immediate action ndo siri ya maendeleo popote pale duniani. Tukianza kupeana muda tutaruhusu mianya ya rushwa. Unadaiwa lipa! Full stop.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Anachofanya Waziri Mkuu sio sawa, sio haki, sio Good Governance! Ni udhalilishaji na kuaibishana!

    Hii ndio serikali inayohitajika kwa sasa.wachache wamenufaika vyakutosha kwa sababu ya hiyo kuulizana ndani.ukimplipua mbele za watu ajaye atakuwa na nidhamu. Angalau naona heshima inarudi katika jamii.watanzania tujifunze kutafuta kipato cha halali. Big up JPM na kamanda wako majaliwa.
Back
Top Bottom