Kwa usalama wa China,Taiwan inatakiwa kuwa chini yake.Jiulize kwanini Tanzania inang'ang'ania Zanzibar?Mmarekani kushirikiana na Taiwani anatengeneza mazingira ya kumchungulia China kirahisi!China ni Threat kwa Marekani kiuchumi,so US anatafuta namna ya kumuangusha!
Iskander missiles mbili zimetosha kumaliza biashara!Bado Satan II zipo stock,hizo zikitumika Ukraine itakuwa vumbi tu.Very poor Zelesky,selling the country.
Wamebeep fire,wameishia kupoteza wanajeshi 660 kati ya around 1000 walioingia Kursk.Wanajutia ujinga waliofanya,lengo ni kutrend kwamba wameingia Russia,mwisho wa siku wameishia kufa.Brothers Russia is a war machine in Trump voice,walishinda vita zidi ya Hitler,Musolini n.k.Russia hatashindwa...
Nashangaa sana kuona mtu akishabikia majizi ya magharibi yanayofanya siku zote Afrika tushindwe kupata maendeleo.Putin is very strong,tambua ana military support toka China na North Korea.Kama hujui China ndo taifa tishio kwa sasa kwa teknolojia.China is the next super power.Marekani hivi sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.